Monday, 13 January 2014

YANGA YAPATA KOCHA MPYA MR HANS VAN DER PLYUM RASIM KUINOA YANGA

 
Hans Van Der Plyum ameingia mkataba wa kuinoa Young Africans kuanzia leo na moja kwa moja kesho mchana ataungana na wachezaji wake waliopo nchini Uturuki kwenye kambi ya mafunzo ya wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom na mashindano ya kimataifa baadae.
Kocha huyo mwenye mafanikio makubwa nchini Ghana aliwasili nchini Tanzania juzi na leo kumalizana na uongozi wa klabu ya Young Africans kisha usiku huu kuanza safari ya kuelekea nchini Uturuki kuungana na timu yake mpya ambayo ipo katika kambi ya mafunzo kwenye jiji la Antlaya.

Uongozi wa Young Africans umefikia hatua hiyo baada ya kuridhika na wasifu na rekodi yake na kuwa kocha pekee aliyeweza kuushawishi uongozi na kumpa kazi kutoka katika maombi mengi ambayo yalikuwa yametumwa na yakiendelea kumiminika kuomba ajira katika klabu kongwe nchini Tanzania.

   
WASIFU WA  HANS VAN DER PLYUM
 CAREER DETAIL
Playing Career
• 18 year goalkeeping career in Eredivisie (Dutch Premier League) and Dutch First Division 

• 1965-1967 Wilhelmina SC

• 1967 – 1985 Den Bosch FC

• 1971 Goalkeeper of Dutch National Under-23 Team

Trainer/Coach

• Dutch Eredivisie and First Division

Head Coach:

FC Den Bosch (1993 -1997), Excelsior Rotterdam (1997 – 1998) 

Youth/Reserve Team Coach and Assistant First Team Coach:

FC Den Bosch (1990 – 1993)


• Ghana Premier League

(Ashanti Goldfields SC [Now AshantiGold](1998-2001, 2004 -2005), Heart of Lions FC (2002-2003, 2006 – 2007 2010 –2011) , Kessben FC (2008 – 2009) Berekum  Chelsea  (2011 current team).

• Ethiopia Premier League

St. George FC (2003 -2004)

•CAF Champions League

St George FC, Ethiopia (2003-2004)

• CAF Confederation Cup

Ashanti Goldfields SC, Ghana (1999-2000)

• Football Academies

Red Bull Academy 2007 – 2008)

Feyenoord Academy (2009 – 2010)


QUALIFICATION AND COMPETENCY DETAILS

 • UEFA  License A. - Certificate Team building. - CAF License B. 
• Fluent in Dutch and English

• Experienced with different cultures and religions 


ACHIEVEMENT AND AWARD DETAILS

Total Career: 500+ matches for FC Den Bosch in the Dutch National League

League Cup Final (1993 – 1994) – FC Den Bosch

Promotion to Dutch Premier League (1994-1995) – FC Den Bosch

Promotion to the Ghana Premier League (2002 – 2003) – Heart of Lions FC

Ethiopian Super Cup Winner (2004 – 2005) – St George FC

CAF Champions League Qualification (2004 – 2005) – St George FC, Ethiopia

Two-time Qualifier – CAF Confederation Cup (1998 – 2001) – Goldfields SC, Ghana

CAF Champions League Qualification (2006 – 2007) – Heart of Lions FC, Ghana

Runners Up – GHALCA Top Four Competition (2006 – 2007) – Heart of Lions FC, Ghana

Awarded Best Coach in Ghana Premier League (2006 – 2007)

Awarded Honourary Membership (1992) – FC Den Bosch

Enzo Ferrari International Youth (Under-18) Tournament Winner in Modena, Italy (1998) – with Shizuoka FC, Japan

Runners-Up - International Under-17 Tournament for Professional Teams in Tiel, Netherlands 2009) – Feyenoord Academy, Ghana

Winners - International Under-17 Tournament for Professional Teams in Groesbeek, Holland (2009) – Feyenoord Academy, Ghana

Loyalty and Sportsmanship Award by the Dutch Football Association for Silver Jubilee (25 years) with FC Den Bosch, Holland

Supporters Player of the year Award – FC Den Bosch, Holland


Recent Coaching Details

Winners – President’s Cup (Ghana), June 2012 (with Berekum Chelsea FC)

Ongoing campaign in the final group stages (Money Zone) of the 2011/2012 CAF Champions League with Berekum Chelsea FC  [Group B with Al-Ahly (Egypt),

       Zamalek (Egypt) and TP Mazembe (DR Congo)]

Related Posts:

0 comments: