Friday, 10 January 2014

YANGA AFRIKA YAANZA MAZOEZI NCHINI UTURUKI

 

Timu ya yanga meanza mazoezi nchini uturuki baada ya kufika salama nchini humo  taarifa zaidi kutoka kwenye timu hiyo zinasema kuwa  itacheza mechi tatu za kirafiki  ndani ya wikimbili itayo kaa nchini humo ingawa yanga haijaeweka wazi itacheza na timu gani

Related Posts:

0 comments: