Saturday, 25 January 2014

WANAHABRI WA IRINGA WAKIBADILISHANA UZOEFU

Baruan Muhuza akibadilishana uzoefu na wanahabari wa Iringa kupitia KwanzaJamii/Mjengwablog. Pichani ni leo asubuhi

BARUANI MAHUZA AKIWA KWENYE STUDIO ZA IBONY FM IRINGA
Kipindi ni Jamii Yetu. Wageni wengine waalikwa ni Josephine Mkude kushoto na Martha Magessa, wote ni wanahabari wa KwanzaJamii/Mjengwablog.
Baruan yuko Iringa kututembelea timu ya KwanzaJamii/ Mjengwablog na kuwa na wasaa wa kubadilishana uzoefu kuhusiana na masuala ya habari na utangazaji. Leo tutapata wasaa zaidi wa mazungumzo na baadhi ya wanahabari hapa Iringa wameonyesha nia ya kujiunga na wenzao wa Kwanzajamii/ Mjengwablog kwenye mazungumzo hayo. Karibu sana Iringa Baruan Muhuza..!
Maggid,Mjengwa
Iringa.

Related Posts:

0 comments: