Monday, 27 January 2014

MEYA WA BUKOBA AANIKA HADHARANI UFISADI ULIVYO FANYIKA

amani1 569e5
HATIMAYE Meya wa Bukoba, Dk. Anatory Amani (CCM), ameamua kufunguka na kuweka wazi ufisadi unaofanyika ndani ya Halmashauri ya Bukoba. Mbali ya ufisadi huo, ameainisha udhaifu na upendeleo wa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), alioufanya wakati wa ukaguzi ndani ya halmashauri hiyo kwa lengo la kumuondoa katika nafasi yake ya umeya.
Soma zaidi...

0 comments: