Tuesday, 14 January 2014

BAGAMOYO HAKUNA MEZA BALI KUNA BANGO LA MAGAZETI NA HAYA NI MAGAZEI YA LEO


                                  Pichani ni leo Jumanne, mchana
Mchana wa leo mchana mtandao huu umefika sehemu mbalimbali mkoa wa bagamoyo na kukuta nitofauti na miji  mingine ya Tanzania mara nyingi tumezoea kuana kuna meza ya magazeti bali bagamoyo  mtandao huu umeshuhudio kuna bango la magazeti sio meza tena

Related Posts:

0 comments: