>>WENGER ATOA UTABIRI WAKE BAADA KUISHUHUDIA CHELSEA IKIIPIGA CITY!
Wenger alitoa utabiri wake huo baada ya
kuishuhudia Chelsea ikiifunga Manchester City Bao 1-0 Jumatatu Usiku
huko Etihad, matokeo ambayo yameibakisha Arsenal kileleni mwa Msimamo wa
Ligi Kuu England wakiwa Pointi 2 mbele ya zote Man City na Chelsea.
Wenger ametamka: “Sio rahisi kama kila
Mtu anavyotabiri. Nilisema kitambo hakuna atakaekuwa juu mbali ya
wenzake. Hii itaamuliwa na kuwa na matokeo mazuri mfululizo.”
Ingawa Chelsea iliweza kuwa Timu ya
kwanza kutofungwa Bao Uwanja wa Etihad wakati Birmingham City ilipoweza
kufanya hivyo Novemba 2010, Wenger anaamini matokeo ya Mechi hiyo
yangeweza kwenda kokote.
Amesema: “Chelsea walionekana kuwa
hatari na City walikuwa wamepooza, hawakuwa wakicheza vizuri na wenye
nguvu kama walivyokuwa huko White Hart Lane walipoishinda Tottenham Bao 5
lakini Mechi hii ingeweza kuwa 1-1 na hata Chelsea kushinda 2-0.
Mwishoni Chelsea walimiliki Mpira Asilimia 65 na kuwa na Shuti 25
Golini!”
Wenger alieleza: "Kipindi hiki, Januari,
Februari, Machi, kila gemu ni vita kwa kila Mtu kwa sababu kila Mtu
anapigania kitu. Unataka tu kushinda gemu hizi!
MSIMAMO:
NA |
TIMU |
P |
GD |
PTS |
1 |
Arsenal |
24 |
26 |
55 |
2 |
Man City |
24 |
41 |
53 |
3 |
Chelsea |
24 |
24 |
53 |
4 |
Liverpool |
24 |
29 |
47 |
5 |
Everton |
24 |
12 |
45 |
6 |
Tottenham |
24 |
-1 |
44 |
7 |
Man Utd |
24 |
10 |
40 |
8 |
Newcastle |
24 |
1 |
37 |
9 |
Southampton |
24 |
7 |
35 |
10 |
Aston Villa |
24 |
-7 |
27 |
11 |
Stoke |
24 |
-14 |
25 |
12 |
Swansea |
24 |
-6 |
24 |
13 |
Hull |
24 |
-7 |
24 |
14 |
Sunderland |
24 |
-11 |
24 |
15 |
Norwich |
24 |
-18 |
24 |
16 |
Crystal Palace |
24 |
-18 |
23 |
17 |
West Brom |
24 |
-6 |
23 |
18 |
West Ham |
24 |
-9 |
22 |
19 |
Cardiff |
24 |
-22 |
21 |
20 |
Fulham |
24 |
-31 |
19 |
RATIBA MECHI ZIJAZO:
[Saa za Bongo]
Jumamosi Februari 8
1545 Liverpool v Arsenal
1800 Aston Villa v West Ham
1800 Chelsea v Newcastle
1800C rystal Palace v West Brom
1800 Norwich v Man City
1800 Southampton v Stoke
1800 Sunderland v Hull
2030 Swansea v Cardiff
Jumapili Februari 9
1630 Tottenham v Everton
1900 Man United v Fulham
Jumanne Februari 11
2245 Cardiff v Aston Villa
2245 Hull v Southampton
2245 West Ham v Norwich
2300 West Brom v Chelsea
Jumatano Februari 12
2245 Arsenal v Man Unitwd
2245 Everton v Crystal Palace
2245 Man City v Sunderland
2245 Newcastle v Tottenham
2245 Stoke v Swansea
2300 Fulham v Liverpool
0 comments:
Post a Comment