Thursday, 20 February 2014

MSANII KING MAJUTO,LUFINGO NA MUHOGOMCHUNGU WATOKA NA EXDENT


MKURUGENZI Mkuu wa Kampuni ya usambazaji wa filamu za kiswahili Lufingo Exaud amesema kuwa wameingiza mtaani filamu yao mpya ijulikanayo kwa jina la Exdent ambayo imeshilikisha wasanii mbalimbali wenye majina makubwa hapa nchinika
 
Utakutana na King Majuto, Muhogo Mchungu, Lufingo, Mzee Pembe na wasanii mbalimbali walio bobea katika sanaa hii ya filamu nchini
 
filamu hiyo iliyorekodiwa kwa ubora wa hali ya juu na umakini mkubwa yenye mafundisho ndani yake itakuwa chachu kwa jamii kujirekerbisha katika maisha yao ya kila siku
 
Kwa sasa filamu hiyo inapatikana maduka yote yanayouza kanda za kiswahili nchini Tanzania na mikoa yote kwa ujumla
 
Hivyo wapenzi wa filamu waende kununua DVD halali ili waendelee kukuza kipato cha wasanii nchini filamu hiyo ambayo imewashilikisha wasanii wengi wakubwa imekuwa ikigombaniwa sokoni kutokana na ubora wake pamoja na wasanii wenyewe jinsi walivyo onyesha uwezo mkubwa wa kuitendea haki filamu hiyo

Related Posts:

0 comments: