>>JUMANNE NI MARUDIANO NUSU FAINALI COPA del REY!!
Barca wako juu wakifungana kwa Pointi na
Real Madrid na Atletico, zote zikiwa na Pointi 57 kila mmoja, lakini
Barca wako mbele kwa ubora Magoli.
Kwenye Mechi hiyo Sevilla walitangulia
kufunga kwenye Dakika ya 15 kupitia Alberto Moreno na Barca kusawazisha
Dakika ya 34 Mfungaji akiwa Alexis Sanchez na kisha Messi kupiga Bao 2
katika Dakika za 44 na 56.
Fabregas ndie alieifungia Barca Bao la 4.
Kesho Jumanne Usiku, Spain itakuwa na
Mechi za Marudiano za Nusu Fainali za Copa del Rey kwa Atletico kucheza
na Real na Barca kuwa Ugenini kwa Real Sociedad.
MSIMAMO-Timu za Juu:
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
FC Barcelona |
23 |
18 |
3 |
2 |
63 |
17 |
46 |
57 |
2 |
Real Madrid CF |
23 |
18 |
3 |
2 |
65 |
24 |
41 |
57 |
3 |
Atletico de Madrid |
23 |
18 |
3 |
2 |
56 |
16 |
40 |
57 |
4 |
Athletic de Bilbao |
22 |
13 |
4 |
5 |
42 |
28 |
14 |
43 |
COPA del REY
NUSU FAINALI
[Saa za Bongo]
Marudiano
Jumanne Februari 11
23:00 Atletico de Madrid v Real Madrid CF [0-3] [Estadio Vicente Calderon]
24:00 Real Sociedad v FC Barcelona [0-2] [Estadio Anoeta]
FAINALI
Aprili 19
0 comments:
Post a Comment