Sunday, 9 February 2014

KUFUNGWA JANA KWA ARSEANAL YASABABISHA KUANDIKWA MARA NYINGI ZAIDI KTK MITANDOA YA KIJAMII DUNIANI

Yani toka jana kuna watu hawaiachi Arsenal, wamesambaza na hizi picha na kumjumuisha Moyes

Screen Shot 2014-02-09 at 1.58.13 PM
Yani zile goli 5 walizofungwa Arsenal jana zimesababisha jina la timu hii litajwe na kuandikwa mara nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na kuambatanishwa na pichaz zikiwemo hizi.
Screen Shot 2014-02-09 at 12.52.46 PMScreen Shot 2014-02-09 at 2.02.35 PM

Related Posts:

0 comments: