>>NI EL DERBI MADRILEÑO: REAL MADRID v ATLETICO MADRID!!
>>KUFUATIA BARCA v REAL SOCIEDAD!
Hiyo Jumatano Februari 5, Mechi ya
kwanza itachezwa El Estadio Santiago Bernabeu ambapo Wenyeji Real Madrid
watawakaribisha Mabingwa Watetezi wa Kombe hili, ambao pia ni Vinara wa
La Liga, Atletico Madrid, ambao pia ni Mahasimu wao wakubwa kwenye Dabi
ya Jiji la Madrid, maarufu kama El Derbi madrileño.
Baada ya Mechi hiyo itafuata Mechi ya Kwanza ya Nusu Fainali nyingine huko Nou Camp kati ya Barcelona na Real Sociedad.
Marudiano ya Nusu Fainali hizi ni Wiki ijayo.
COPA del REY
NUSU FAINALI
[Saa za Bongo]
Jumatano Februari 5
22:00 Real Madrid CF v Atletico de Madrid [El Estadio Santiago Bernabeu]
24:00 FC Barcelona v Real Sociedad [Camp Nou]
Marudiano
Jumanne Februari 11
23:00 Atletico de Madrid v Real Madrid CF [Estadio Vicente Calderon]
Jumatano Februari 12
24:00 Real Sociedad v FC Barcelona [Estadio Anoeta]
FAINALI
Aprili 19
0 comments:
Post a Comment