>>MECHI KUANZA SAA 1 USIKU BONGO TAIMU!
RATIBA:
[Saa za Bongo]
Jumapili Januari 19
1630 Swansea v Tottenham
1900 Chelsea v Man United
PATA DONDOO MUHIMU:
Hali za Timu:
Mchezaji mpya wa Chelsea, Kiungo Nemanja
Matic aliesainiwa Juzi kutoka Benfica, hataanza Mechi hii kwa mujibu wa
Meneja Jose Mourinho.
Nae Meneja wa Man United, David Moyes,
amethibitisha kuwa Mastraika wake hatari, Wayne Rooney na Robin van
Persie, hawamo kwenye Kikosi kuilichosafiri kwenda London licha ya
kupona maumivu yao.
Wakati Man United wanasaka ushindi wao
wa Sita katika Mechi 7 za Ligi zilizopita, Jose Mourinho na Chelsea yake
inataka kudumisha Rekodi ya Meneja huyo ya kutofungwa Uwanjani Stamford
Bridge kwenye Mechi ya Ligi katika himaya zake mbili Klabuni hapo
kuanzia ile ya Mwaka 2004 mpaka 2007 na hii ya kuanzia Msimu huu.
Lakini Msimu uliopita, kwenye Mechi kama
hii ya Ligi, Man United walimaliza ukame wa Miaka 10 kutoshinda
Stamford Bridge katika Ligi Kuu baada Javier Hernandez ‘Chicharito’
kutoka Benchi na kupachika Bao la ushindi.
Mapema Mwezi Agosti, huko Old Trafford, Man United na Chelsea zilitoka Sare ya 0-0 kwenye Mechi ya Kwanza ya Ligi.
VIKOSI VINATARAJIWA:
CHELSEA (Mfumo unaweza kuwa: 4-2-3-1): Cech; Azpilicueta, Cahill, Terry, Cole; Luis, Ramiers, Willian, Oscar, Hazard; Torres.
Majeruhi: Van Ginkel (Goti).
Kupimwa kabla Mechi: Ivanovic (Goti), Lampard (Musuli za Mguu).
MAN UNITED (Mfumo unaweza kuwa: 4-2-3-1): De Gea; Rafael, Smalling, Vidic, Evra; Fletcher, Carrick; Valenica, Januzaj, Kagawa; Welbeck.
Majeruhi: Fellaini (Mkono), Ferdinand (Goti), Rooney (Nyonga), Van Persie (Paja),
Kupimwa kabla Mechi: Phil Jones (Goti), Ashley Young (Bega).
Refa: Phil Dowd [MECHI: 15, Kadi Nyekundu: 0 Kadi za Njano:65]
TAKWIMU MUHIMU:
-Man United wameshinda Mechi 5 tu kati ya 20 za Ligi Kuu Uwanjani Stamford Bridge.
-Katika Mechi 10 zilizopita Man United wameifunga Chelsea mara 5, Sare 3 na Kufungwa 2.
MECHI 3 ZILIZOPITA ZA LIGI STAMFORD BRIDGE:
2012/13: Chelsea 2-3 Manchester United
Manchester United walimaliza ukame wa
Miaka 10 kutoshinda Stamford Bridge katika Ligi Kuu baada Javier
Hernandez ‘Chicharito’ kutoka Benchi na kupachika Bao la ushindi.
2011/12: Chelsea 3-3 Manchester United
Hernandez tena aliokoa Man United kwa kusawazisha Bao walipotoka nyuma kwa Bao 3-0 na kupata Sare ya 3-3.
2010/11: Chelsea 2-1 Manchester United
Penati ya Frank Lampard iliipa Chelsea
Bao la kusawazisha baada Wayne Rooney lakini David Luiz akafunga Bao
lake la kwanza kwa Chelsea na kuipa ushindi. Nemanja Vidic alitolewa nje
kwa Kadi Nyekundu katika Dakika za Majeruhi.
MSIMAMO:
NA |
TIMU |
P |
GD |
PTS |
1 |
Arsenal |
22 |
24 |
51 |
2 |
Man City |
22 |
38 |
50 |
3 |
Chelsea |
21 |
21 |
46 |
4 |
Liverpool |
22 |
25 |
43 |
5 |
Everton |
21 |
15 |
41 |
6 |
Tottenham |
21 |
1 |
40 |
7 |
Man Utd |
21 |
11 |
37 |
8 |
Newcastle |
22 |
4 |
36 |
9 |
Southampton |
22 |
4 |
31 |
10 |
Aston Villa |
22 |
-7 |
24 |
11 |
Hull |
22 |
-6 |
23 |
12 |
Norwich |
22 |
-17 |
23 |
13 |
Stoke |
22 |
-14 |
22 |
14 |
Swansea |
21 |
-4 |
21 |
15 |
West Brom |
21 |
-5 |
21 |
16 |
Crystal Palace |
22 |
-17 |
20 |
17 |
Fulham |
22 |
-26 |
19 |
18 |
West Ham |
22 |
-11 |
18 |
19 |
Sunderland |
22 |
-15 |
18 |
20 |
Cardiff |
22 |
-21 |
18 |
RATIBA:
[Saa za Bongo]
Jumatatu Januari 20
2300 West Brom v Everton
Jumanne Januari 28
2245 Man United v Cardiff
2245 Norwich v Newcastle
2245 Southampton v Arsenal
2245 Swansea v Fulham
2300 Crystal Palace v Hull
2300 Liverpool v Everton
Jumatano Januari 29
2245 Aston Villa v West Brom
2245 Chelsea v West Ham
2245 Sunderland v Stoke
2245 Tottenham v Man City
0 comments:
Post a Comment