Friday, 10 January 2014

HATIMAE SIMBA NAYO YAFUZU FAINALI MAPINDUZI CUP ZANZIBAR




 
Klabu ya Simba imefanikiwa kukata tiketi ya kucheza fainali ya kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga URA ya Uganda mabao 2-0.
mabao ya Simba kwenye mchezo huo yamefungwa na beki Joseph Owino pamoja na kiungo Amri Kiemba huku kiungo Owen Kasule wa URA akilimwa kadi nyekundu kwa kumchezea madhambi Ramadhani Singano.

Simba sasa itacheza fainali siku ya Jumatatu na timu ya KCC pia toka nchini UGANDA iliyoitoa AZAM kwa mabao 3-2.

 
 

ZANZIBAR_STONE_TOWN 









RATIBA/MATOKEO:
ROBO FAINALI
Jumatano Januari 8
Gombani Stadium, Pemba
KMKM 0 URA 1
Azam FC 2 Clove Stars 0
Amaan Stadium
Tusker 0 KCC 0 [KCC imesonga kwa Penati 4-3]
Simba 2 Chuoni 0
NUSU FAINALI
Ijumaa Januari 10
SAA 10 JIONI: Azam FC 2 KCC 3
SAA 2 USIKU: URA 0 Simba 2
FAINALI
Jumatatu Januari 13
Amaan Stadium
SAA 10 JIONI: Simba v KCC
 

Related Posts:

0 comments: