Tuesday, 21 January 2014

DK KIKWETE AFUNGUA KONGAMAONO LA VIONGOZI WA DINI KUHUSUSU MATUMIZI YA GESI ASILIS

JK afungua Kongamano la viongozi wa dini kuhusu matumizi ya Gesi asilia, Mafuta na Madini kwa Amani na maendeleo ya nchi

unnamed (9)
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa  na baadhi ya viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Dini waliohudhuria Kongamano la siku mbili linalohusu Rasilimali za Gesi Asilia, Mafuta na Madini kwa Amani na Maendeleo ya Tanzania linalofanyika katika hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.

Related Posts:

0 comments: