Monday, 27 January 2014

BUNGE LAKATIBA MAMBO BADO KIZUNGUMKUTI

 
arioba_28998.jpg
Dar es Salaam. Sheria ya Mabadiliko ya Katiba bado ina upungufu ambao utaathiri utendaji wa Bunge Maalumu, ambalo huenda likaanza Februari 11 mwaka huu, mjini Dodoma.
Sheria hiyo Namba 8 ya 2011, imeishafanyiwa marekebisho mara mbili yakiwamo ya Februari 2012 na Novemba 2013, lakini mabadiliko hayo yameacha kasoro ambazo zinapaswa zifanyiwe tena kazi, kupitia Bunge.

Soma zaidi...

0 comments: