Sunday, 9 February 2014

HICHO NDICHO ALICHOKIANDIKA GOLIKIPA WA ARSEANAL BAADA YA KUFUNGWA 5-1 NA LIVERPOOL

 article-2554698-1B4CB9D800000578-340_636x418
Muda mchache baada ya mchezo wa jana wa ligi kuu ya England kati ya Arsenal dhidi ya Liverpool, ambao uliisha kwa matokeo ya Liverpool kuiadhibu Arsenal 5-1, golikipa wa klabu ya Arsenal Wojciech Szczesny alitumia akaunti yake ya mtandao wa Twitter kuwaomba msamaha mashabiki wa timu hiyo kwa kipigo hicho.
Aliandika: “Ilikuwa ni aibu kubwa, samahani kwa yoyote aliyekaa dakika zote kuangalia mchezo ule.”

Related Posts:

0 comments: