MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Friday, 28 February 2014

KUMBUKA LEO UWANJA WA TAIFA: (MTOTO HALALI NA HELA) NI MOTO YANGA v AL AHLY!!

  MABINGWA WA TANZANIA BARA, Yanga, Leo hii wanatinga Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam kuwavaa Mabingwa wa Afrika, Al Ahly, katika Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Kwanza ya CAF CHAMPIONZ LIGI. Timu hizi zitarudiana huko Cairo, Misri hapo Machi 9. Wakati Al Ahly ikiwania...

RAISI KIKWETE AZINDUA BUNGE LA KATIBA MPYA WIKI IJAYO

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Ijumaa, Februari 28, 2014 hatahutubia taifa katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi kama ilivyo kawaida. Hotuba hiyo haitakuwepo kwa sababu awali Rais Kikwete alitarajiwa kuzindua Bunge...

AFISA MSTAAFU WA NMB AFARIKA DUNIA KWENYE AJALI YA BASI NA TRENI

  Mganga mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya Manyoni, Dk.Kitundu Jackson ,akitoa maelezo kwa waandishi wa habari juu ya mapokezi ya majeruhi wa basi la bunda lililogonga kichwa cha Treni leo.Picha zote na Nathaniel Limu. Bbasi la Bunda lililokuwa likitokea mjini...

TAARIFA KUHUSU HOTUBA YA RAISI YAMWISHO WA FEBRUARI 2014

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Ijumaa, Februari 28, 2014 hatahutubia taifa katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi kama ilivyo kawaida. Hotuba hiyo haitakuwepo kwa sababu awali Rais Kikwete alitarajiwa kuzindua Bunge Maalum la Katiba kwa hotuba rasmi Bungeni...

MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA ODM WAANZA NCHNI KENYA

Raila Odinga kiongozi wa chama cha ODM nchini Kenya. Chama cha siasa...

WANAMGAMBO WA NIGERIA WAUWA WATU 33

Mabaki ya chuo cha serikali ambapo wanafunzi 60 walichomwa moto hadi kufa Februari 25, 2014 Shambulizi hilo la Alhamis karibu na mpaka wa Cameroon lilifanyika siku moja baada ya mashahidi kuripoti kuwa takribanu wanafunzi 60 waliuwawa katika chuo cha serikali. Mashahidi...

HII NDIO ADHABU ALIYO PEWA KOCHA WA MAN CITY PELLEGRINI NA UEFA

Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini. Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amepigwa marufuku mechi mbili na UEFA asisogelee eneo la kiufundi la uwanja kwa kumlaumu mwaamuzi baada ya klabu yake kushindwa na Barcelona...

YANGA: YAZIDI KUJIGAMBA AL-AHLY LEO MKIINGIA TU! TUNAWACHINJA

  WIKIENDI hii zinachezwa mechi 16 za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Lakini macho ya Afrika nzima yapo Dar es Salaam ambapo mabingwa watetezi wa mashindano hayo, Al Ahly, itacheza na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa. Afrika inafuatilia kwa karibu mechi hiyo...

KUMBE MWALIMU NYERERE ALITAKA SERIKALI TATU ?

Na Fredy Azzah, Mwananchi Dar es Salaam. Wakati mjadala wa Katiba Mpya hususani muundo wa Muungano ukipamba moto, imebainika kuwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kupendekeza kuanzishwa Serikali ya Tanganyika, kama sharti la kuingia kwenye...

BENKI YA DUNIA YAKEMEA UHARIBIFU WA CHAKULA

Basi Ripoti mpya kutoka benki ya dunia inasema kuwa robo ya chakula chote kinachokuzwa duniani hupotea ama kutupwa, na sasa inawataka raia kufikiri kwa makini kile kuhusu uharibifu huu wa chakula. Inasema kuwa katika maeneo kama...

TFF YAITAKIA HERI YANGA MTANANGE AFRIKA NA AL -AHLY!

>>YANGA v AL AHLY: MAANDALIZI YAKAMILIKA! >>VPL: MAREKEBISHO-PRISON, SIMBA KUCHEZA MACHI 9! >>TFF KUADHIMISHA MIAKA 50 KUJIUNGA FIFA, YAUNDA KAMATI!! SOMA ZAIDI: Release No. 035 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Februari 28, 2014 MALINZI AUNDA KAMATI...

LIGI KUU ENGLAND: CHELSEA KUBAKI KILELENI AU ARSENAL KUIPIKU?

>>WENGER ASISITIZA LIGI KUU ENGLAND NDIO BORA! RATIBA MECHI ZIJAZO: [Saa za Bongo] Jumamosi Machi 1 1800 Everton v West Ham 1800 Fulham v Chelsea 1800 Hull v Newcastle 1800 Stoke v Arsenal 2030 Southampton v Liverpool WAKATI Manchester City hawana Mechi...

BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA

  Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (aliyekaa kulia) akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe (katikati) pamoja na Mtendaji Mkuu wa TANROADS Eng. Patrick Mfugale (aliyesimama) wakisafiri kwa basi kukagua utekelezaji wa ujenzi wa barabara...

MTOTO ADOLOTEA NJAVIKE(1.4) ANAOMBA MSAADA WA MATIBABU KUTOKA KWA WASAMARIA WEMA

  ili aweze kufanyiwa upasuaji kutokana na Kichwa na Kiwiliwili kuungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi   MTOTO Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili vimeungana baada ya kupata na ajali ya...

RAIS KIKWETE AKUTANA NA KATIBU MKUU WA EAC

    Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt.Richard Sezibera ikulu jijini Dar es Salaam leio asubuhi(picha na Freddy Maro) BALOZI WA FINLAND...