MABINGWA
WA TANZANIA BARA, Yanga, Leo hii wanatinga Uwanja wa Taifa Jijini Dar
es Salaam kuwavaa Mabingwa wa Afrika, Al Ahly, katika Mechi ya Kwanza ya
Raundi ya Kwanza ya CAF CHAMPIONZ LIGI.
Timu hizi zitarudiana huko Cairo, Misri hapo Machi 9.
Wakati Al Ahly ikiwania...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Friday, 28 February 2014
RAISI KIKWETE AZINDUA BUNGE LA KATIBA MPYA WIKI IJAYO
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
leo, Ijumaa, Februari 28, 2014 hatahutubia taifa katika hotuba yake ya
mwisho wa mwezi kama ilivyo kawaida.
Hotuba
hiyo haitakuwepo kwa sababu awali Rais Kikwete alitarajiwa kuzindua
Bunge...
AFISA MSTAAFU WA NMB AFARIKA DUNIA KWENYE AJALI YA BASI NA TRENI
Mganga
mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya Manyoni, Dk.Kitundu Jackson ,akitoa
maelezo kwa waandishi wa habari juu ya mapokezi ya majeruhi wa basi la
bunda lililogonga kichwa cha Treni leo.Picha zote na Nathaniel Limu.
Bbasi
la Bunda lililokuwa likitokea mjini...
TAARIFA KUHUSU HOTUBA YA RAISI YAMWISHO WA FEBRUARI 2014
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete leo, Ijumaa, Februari 28, 2014 hatahutubia taifa katika hotuba
yake ya mwisho wa mwezi kama ilivyo kawaida.
Hotuba hiyo haitakuwepo kwa sababu awali Rais Kikwete alitarajiwa
kuzindua Bunge Maalum la Katiba kwa hotuba rasmi Bungeni...
MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA ODM WAANZA NCHNI KENYA
Raila Odinga kiongozi wa chama cha ODM nchini Kenya.
Chama cha siasa...
WANAMGAMBO WA NIGERIA WAUWA WATU 33
Mabaki ya chuo cha serikali ambapo wanafunzi 60 walichomwa moto hadi kufa Februari 25, 2014
Shambulizi hilo la Alhamis karibu na
mpaka wa Cameroon lilifanyika siku moja baada ya mashahidi kuripoti kuwa
takribanu wanafunzi 60 waliuwawa katika chuo cha serikali.
Mashahidi...
HII NDIO ADHABU ALIYO PEWA KOCHA WA MAN CITY PELLEGRINI NA UEFA
Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini.
Kocha wa Manchester City Manuel
Pellegrini amepigwa marufuku mechi mbili na UEFA asisogelee eneo la
kiufundi la uwanja kwa kumlaumu mwaamuzi baada ya klabu yake kushindwa
na Barcelona...
YANGA: YAZIDI KUJIGAMBA AL-AHLY LEO MKIINGIA TU! TUNAWACHINJA
WIKIENDI hii zinachezwa mechi 16 za
raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Lakini macho ya Afrika
nzima yapo Dar es Salaam ambapo mabingwa watetezi wa mashindano hayo, Al
Ahly, itacheza na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa.
Afrika inafuatilia kwa karibu mechi
hiyo...
KUMBE MWALIMU NYERERE ALITAKA SERIKALI TATU ?
Na Fredy Azzah, Mwananchi
Dar es Salaam. Wakati mjadala wa
Katiba Mpya hususani muundo wa Muungano ukipamba moto, imebainika kuwa
Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kupendekeza kuanzishwa
Serikali ya Tanganyika, kama sharti la kuingia kwenye...
BENKI YA DUNIA YAKEMEA UHARIBIFU WA CHAKULA
Basi Ripoti mpya kutoka benki ya dunia
inasema kuwa robo ya chakula chote kinachokuzwa duniani hupotea ama
kutupwa, na sasa inawataka raia kufikiri kwa makini kile kuhusu
uharibifu huu wa chakula.
Inasema kuwa katika maeneo kama...
TFF YAITAKIA HERI YANGA MTANANGE AFRIKA NA AL -AHLY!
>>YANGA v AL AHLY: MAANDALIZI YAKAMILIKA!
>>VPL: MAREKEBISHO-PRISON, SIMBA KUCHEZA MACHI 9!
>>TFF KUADHIMISHA MIAKA 50 KUJIUNGA FIFA, YAUNDA KAMATI!!
SOMA ZAIDI:
Release No. 035
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Februari 28, 2014
MALINZI AUNDA KAMATI...
LIGI KUU ENGLAND: CHELSEA KUBAKI KILELENI AU ARSENAL KUIPIKU?
>>WENGER ASISITIZA LIGI KUU ENGLAND NDIO BORA!
RATIBA MECHI ZIJAZO:
[Saa za Bongo]
Jumamosi Machi 1
1800 Everton v West Ham
1800 Fulham v Chelsea
1800 Hull v Newcastle
1800 Stoke v Arsenal
2030 Southampton v Liverpool
WAKATI
Manchester City hawana Mechi...
BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
Waziri
wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (aliyekaa kulia) akiwa na
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe (katikati) pamoja na
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Eng. Patrick Mfugale (aliyesimama) wakisafiri
kwa basi kukagua utekelezaji wa ujenzi wa barabara...
MTOTO ADOLOTEA NJAVIKE(1.4) ANAOMBA MSAADA WA MATIBABU KUTOKA KWA WASAMARIA WEMA
ili aweze kufanyiwa upasuaji kutokana na Kichwa na
Kiwiliwili kuungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake
Mzazi
MTOTO Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili vimeungana baada ya kupata na ajali ya...
RAIS KIKWETE AKUTANA NA KATIBU MKUU WA EAC
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Katibu
Mkuu wa jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt.Richard Sezibera ikulu jijini
Dar es Salaam leio asubuhi(picha na Freddy Maro)
BALOZI WA FINLAND...