Saturday 19 April 2014

KIINGILIO CHA CHINI YANGA vs SIMBA NI 7,000/-


944155_584386034916133_328594498_n_4c470.jpg
VS
images_c523e.jpg

Taarifa yetu tuliyotuma hivi punde ilionesha kiingilio cha chini mechi ya Yanga na Simba ni sh. 5,000. Usahihi ni kuwa kiingilio hicho ni sh. 7,000 kama kinavyooneshwa kwenye tiketi.
Boniface Wambura
Ofisa Habari na Mawasiliano

0 comments: