Wednesday 30 April 2014

KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI AMKARIBISHA RAIS KWETE ARUSHA

 
katibu eac 
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt.Richard Sezibera akimkaribisha Rais  Dkt Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya hiyo unaofanyika leo (picha na Freddy Maro).

0 comments: