MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Tuesday 27 October 2015

Matokeo Ya Urais: Dk Magufuli anaongoza Majimbo 17, Lowassa 10......Updates Zote Za Matokeo Ya Urais Zitakuwa Hapa

Oktoba 26, 2015 - Saa 4 asubuhi:


Jimbo la Makunduchi:

Magufuli (CCM): 8,406
Lowassa (CHADEMA): 1,769

Jimbo la Paje:

Magufuli (CCM): 6,035
Lowassa (CHADEMA): 1,899

Jimbo la Lulindi:

Magufuli (CCM): 31,603
Lowassa (CHADEMA): 11,543

October 26, 2015 - Saa 11 Jioni

Jimbo la Mkoani:

Magufuli (CCM): 3341
Lowassa (CHADEMA): 7368

Jimbo la Ndanda:

Magufuli (CCM): 33699
Lowassa (CHADEMA): 19017

Jimbo la Kiwengwa:

Magufuli (CCM): 3317
Lowassa (CHADEMA): 1104

Jimbo la Nsimbo:

Magufuli (CCM): 31413
Lowassa (CHADEMA): 6042

Jimbo la Mtambile:

Magufuli (CCM): 902
Lowassa (CHADEMA): 5875

Jimbo la Donge:

Magufuli (CCM): 5592
Lowassa (CHADEMA): 1019

Jimbo la Kiwani:

Magufuli (CCM): 1661
Lowassa (CHADEMA): 4229

Jimbo la Chambani:

Magufuli (CCM): 818
Lowassa (CHADEMA): 5319

Jimbo la Kibaha Mjini:

Magufuli (CCM): 34604
Lowassa (CHADEMA): 25448

Jimbo la Bumbuli:

Magufuli (CCM): 35310
Lowassa (CHADEMA): 7928

October 26, 2015 - Saa 2 Usiku

Jimbo la Gando:

Magufuli (CCM): 881
Lowassa (CHADEMA): 5903

Jimbo la Kisarawe:

Magufuli (CCM): 24086
Lowassa (CHADEMA): 13093

Jimbo la Kojani:

Magufuli (CCM): 1561
Lowassa (CHADEMA): 9982

Jimbo la Mbinga Mjini:

Magufuli (CCM): 29295
Lowassa (CHADEMA): 11695

Jimbo la Mgogoni:

Magufuli (CCM): 710
Lowassa (CHADEMA): 6506

Jimbo la Mkinga:

Magufuli (CCM): 23798
Lowassa (CHADEMA): 15142

Jimbo la Moshi Mjini:

Magufuli (CCM): 28909
Lowassa (CHADEMA): 49379

Jimbo la Mtambwe:

Magufuli (CCM): 428
Lowassa (CHADEMA): 6937

Jimbo la Nanyamba:

Magufuli (CCM): 24904
Lowassa (CHADEMA): 16992

Jimbo la Peramiho:

Magufuli (CCM): 32505
Lowassa (CHADEMA): 11291

Jimbo la Wete:

Magufuli (CCM): 958
Lowassa (CHADEMA): 5119
October 27, 2015 - Saa 3 Asubuhi

Jimbo la Chalinze

Magufuli (CCM):52,212
Lowassa (CHADEMA):21380

Jimbo la Chonga

Magufuli (CCM):1740
Lowassa (CHADEMA):3800

Jimbo la Chumbuni

Magufuli (CCM): 5096
Lowassa (CHADEMA): 4450

Jimbo la Ileje

Magufuli (CCM):26,368
Lowassa (CHADEMA): 15,651

Jimbo la Kijini

Magufuli (CCM): 2703
Lowassa (CHADEMA): 3351

Jimbo la Kilindi-Tanga

Magufuli (CCM): 33,942
Lowassa (CHADEMA):12,123

Jimbo la Korogwe Mjini-Tanga

Magufuli (CCM): 17,168
Lowassa (CHADEMA): 9034

Jimbo la Kohani-Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):6,245
Lowassa (CHADEMA): 2689


Jimbo la Lupembe-Njombe

Magufuli (CCM): 23,061
Lowassa (CHADEMA): 7,466

Jimbo la Madaba-Ruvuma

Magufuli (CCM): 13,949
Lowassa (CHADEMA):4,735

Jimbo la Masasi Mjini-Mtwara

Magufuli (CCM): 24,637
Lowassa (CHADEMA):16,778

Jimbo la Mbeya Vijijini-Mbeya

Magufuli (CCM):62,662
Lowassa (CHADEMA):47,038

Jimbo la Mkwajuni-Kaskazini Unguja

Magufuli (CCM): 4,686
Lowassa (CHADEMA): 3,314

Jimbo la Momba- Mbeya

Magufuli (CCM): 28,978
Lowassa (CHADEMA):24,418

Jimbo la Monduli-Arusha

Magufuli (CCM):11,355
Lowassa (CHADEMA): 49,675

Jimbo la Mpendae- Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):4,192
Lowassa (CHADEMA): 4,048

Jimbo la Mwanga-Kilimanjaro

Magufuli (CCM): 25,738
Lowassa (CHADEMA):15,148

Jimbo la Namtumbo-Ruvuma

Magufuli (CCM):44,061
Lowassa (CHADEMA): 23,039

Jimbo la Newala Mjini-Mtwara

Magufuli (CCM):
Lowassa (CHADEMA):
Matokeo Yote Yako Hapo Chini. Bonyeza Picha Kuyaona Vizuri

Haya Ndio Majimbo 29 Ambayo UKAWA Imeshinda kwa Kishindo


 
1.Tarime-Ester Matiko
2.Buyungu-Bilago Samson
3.Tunduma-Mwakajoka Samson
4.Siha-Godwin Mollel
5.Monduli-Julius Kalanga Laizer
6.Tandahimba-Katani Ahmed(CUF)
7.Arumeru Mashariki-Joshua Nassari
8.Bunda-Ester Bulaya
9.Serengeti-Marwa Ryoba
10.Mbeya Mjini-Joseph Mbilinyi
11.Hai-Freema Mbowe
12.Mtwara-Maftar Nachuma
13.Same Mashariki-Naghejwa Livingstone
14.Ndanda-Cecil Mwambe
15.Moshi Mjini-Japhary Michael
16.Joseph Selassini
17.Singida Mashariki-Tundu Lissu
18.Tumbe-Rashid Abdallah.(CUF-PEMBA,ZANZIBAR)

19.Chakechake-Yusuph Makame(CUF,PEMBA ZANZIBAR)
20.Chonga-Juma Khatib(CUF,PEMBA ZANZIBAR)

21.Ziwani-Nasor Omary(CUF,PEMBA ZANZIBAR)
22.Ubungo-Said Kubenea
23.Mikumi-Joseph Haule
24.Hassani Bobali(CUF)
25. Tarime Vijijini -John Heche
26.Moshi Vijijini-Anthony Komu
27.Vunjo-James Mbatia
28.Wilfred Lwakatare
29.Bbati Mjini-Pauline Kekul
30.

Update.....Orodha ya Majimbo 27 ambayo CCM wameyapoteza mpaka sasa

 

1.Monduli
2.Simanjiro
3.Same Mashariki(Mama Kilango)
4.Siha
5.Bunda Mjini(kwa Wasira)
6.Arumeru Magharibi-hili Jimbo bado liko CCM
7.Jimbo la Christopher Chiza(huko mkoa wa Kigoma)
8.Tanga Mjini
9.Babati Mjini
10.Babati vijijini
11.Tandahimba
12.Muleba kusini(sina uhakika sana)
13.Moshi vijijini
14.Tunduma
15.Mtwara mjini
16.Bukoba Mjini(confirmed)
17.Tarime vijijini(John Heche kashinda)
18.Tarime mjini
19.Mwanga(sina uhakika sana).
20.Serengeti
21.Sengerema
22.Kaliua
23.Ndanda
25.Kigoma mjini
26.Rorya(sina uhakika)
27.Ukonga

Matokeo Rasmi ya Urais yaliotolewa leo mchana kwa Mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015


Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yanavyotangazwa.

Tembelea  ukurasa huu mara kwa mara  kwa updates zaidi

  ==================================
 October 27, 2015 - Saa 8.40 Mchana

Jimbo  la  Fuoni-Mjini Magharibi

Magufuli (CCM): 956
Lowassa (CHADEMA):420

Jimbo  la  Kikwajuni-Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):6,317
Lowassa (CHADEMA): 3669

 Jimbo  la  Mpanda Vijijini-Katavi

Magufuli (CCM):37,321
Lowassa (CHADEMA): 12,791

Jimbo  la  Mchinga-Lindi

Magufuli (CCM):13,948
Lowassa (CHADEMA):12,936

Jimbo  la  Mwela-Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):6430
Lowassa (CHADEMA):5865

Jimbo  la Nkasi  Kaskazini-Rukwa

Magufuli (CCM):25,837
Lowassa (CHADEMA):19,891

Jimbo  la  Nkasi Kusini-Rukwa

Magufuli (CCM): 21,572
Lowassa (CHADEMA): 13,550


Jimbo  la  Nkenge-Kagera

Magufuli (CCM): 42,568
Lowassa (CHADEMA): 25,840

Jimbo  la  Amani-Kusini Magharibi

Magufuli (CCM):4,322
Lowassa (CHADEMA):3,157

Jimbo  la  Bumbwini

Magufuli (CCM):2503
Lowassa (CHADEMA): 2822

Jimbo  la  Nungwi- Mkoa wa Kaskazini Unguja

Magufuli (CCM):4135
Lowassa (CHADEMA): 4853

Jimbo  la Uzini

Magufuli (CCM):6537
Lowassa (CHADEMA):1864

Jimbo  la  Chwaka

Magufuli (CCM):6537
Lowassa (CHADEMA): 1864

Jimbo  la Mtama-Lindi

Magufuli (CCM):29,625
Lowassa (CHADEMA):20,841

Jimbo  la Tunguu-Kusini Unguja

Magufuli (CCM): 8,519
Lowassa (CHADEMA): 2,923

Jimbo  la Biharamuro-Kagera 

Magufuli (CCM):44,943
Lowassa (CHADEMA):28,576

Jimbo  la Arusha Mjini-Arusha 

Magufuli (CCM): 65,107
Lowassa (CHADEMA): 150,786

Jimbo  la Chake Chake

Magufuli (CCM):1253
Lowassa (CHADEMA):5209

Jimbo  la Kibaha Vijijini-Pwani 

Magufuli (CCM):20,805
Lowassa (CHADEMA):11,344

Jimbo  la Mwanakwereke

Magufuli (CCM): 4206
Lowassa (CHADEMA):4606

Jimbo  la Nachingwea-Lindi

Magufuli (CCM):46,485
Lowassa (CHADEMA):30,252

Jimbo  la Mafya- Pwani

Magufuli (CCM): 11,153
Lowassa (CHADEMA):9,363

Jimbo  la Mkuranga- Pwani

Magufuli (CCM):45,710
Lowassa (CHADEMA): 36,478

Jimbo  la Welezo

Magufuli (CCM):2615
Lowassa (CHADEMA):2582

Jimbo  la Magomeni-Kusini Magharibi

Magufuli (CCM): 5716
Lowassa (CHADEMA):3711
  == =================================== 
October 27, 2015 - Saa 3 Asubuhi  
  
Jimbo  la  Chalinze

Magufuli (CCM):52,212
Lowassa (CHADEMA):21380

Jimbo  la  Chonga

Magufuli (CCM):1740
Lowassa (CHADEMA):3800
 
Jimbo  la  Chumbuni

Magufuli (CCM): 5096
Lowassa (CHADEMA): 4450

Jimbo  la Ileje

Magufuli (CCM):26,368
Lowassa (CHADEMA): 15,651

Jimbo  la Kijini

Magufuli (CCM): 2703
Lowassa (CHADEMA): 3351

Jimbo  la Kilindi-Tanga

Magufuli (CCM): 33,942
Lowassa (CHADEMA):12,123
  
Jimbo  la Korogwe Mjini-Tanga

Magufuli (CCM): 17,168
Lowassa (CHADEMA): 9034

Jimbo  la Kohani-Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):6,245
Lowassa (CHADEMA): 2689

 
Jimbo  la Lupembe-Njombe

Magufuli (CCM): 23,061
Lowassa (CHADEMA): 7,466

Jimbo  la Madaba-Ruvuma

Magufuli (CCM): 13,949
Lowassa (CHADEMA):4,735

Jimbo  la Masasi Mjini-Mtwara

Magufuli (CCM): 24,637
Lowassa (CHADEMA):16,778

Jimbo  la Mbeya Vijijini-Mbeya

Magufuli (CCM):62,662
Lowassa (CHADEMA):47,038

Jimbo  la Mkwajuni-Kaskazini Unguja

Magufuli (CCM): 4,686
Lowassa (CHADEMA): 3,314

Jimbo  la Momba- Mbeya

Magufuli (CCM): 28,978
Lowassa (CHADEMA):24,418

Jimbo  la Monduli-Arusha

Magufuli (CCM):11,355
Lowassa (CHADEMA): 49,675

Jimbo  la Mpendae- Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):4,192
Lowassa (CHADEMA): 4,048

Jimbo  la Mwanga-Kilimanjaro

Magufuli (CCM): 25,738
Lowassa (CHADEMA):15,148

Jimbo  la Namtumbo-Ruvuma

Magufuli (CCM):44,061
Lowassa (CHADEMA): 23,039

Jimbo  la Newala Mjini-Mtwara

Magufuli (CCM): 21,269
Lowassa (CHADEMA):16,980

Jimbo  la Newala Vijijini-Mtwara

Magufuli (CCM): 29,799
Lowassa (CHADEMA): 13,958

Jimbo  la Siha-Kilimanjaro

Magufuli (CCM): 18,252
Lowassa (CHADEMA):22,572

Jimbo  la Solwa-Shinyanga

Magufuli (CCM): 66,096
Lowassa (CHADEMA): 23,510

Jimbo  la Tandahimba

Magufuli (CCM): 49,098
Lowassa (CHADEMA):46,288
  
Jimbo  la Tumbatu-Kaskazini Unguja

Magufuli (CCM): 5,720
Lowassa (CHADEMA):  3,967

Jimbo  la Igalula-Tabora

Magufuli (CCM): 28,747
Lowassa (CHADEMA): 8,393

Jimbo  la Ulanga-Morogoro

Magufuli (CCM):32,297
Lowassa (CHADEMA):20,489

Jimbo  la Wawi-Kusini Pemba

Magufuli (CCM): 1,748
Lowassa (CHADEMA): 5,216

Jimbo  la Ziwani-Kusini Pemba

Magufuli (CCM): 592
Lowassa (CHADEMA):6,067

Jimbo  la Ole-Kusini Pemba

Magufuli (CCM):681
Lowassa (CHADEMA):5,251
  
Jimbo  la .....-Kaskazini Unguja

Magufuli (CCM): 5,592
Lowassa (CHADEMA): 1,019

Jimbo  la Tabora Kaskazini-Tabora 

Magufuli (CCM): 38,050
Lowassa (CHADEMA): 12,410

Jimbo  la Ruangwa 

Magufuli (CCM): 34,516
Lowassa (CHADEMA): 26,827

Jimbo  la Malindi-Mjini Magharibi 

Magufuli (CCM): 2,581
Lowassa (CHADEMA): 5,662

Jimbo  la Jang'ombe-Mjini Magharibi 

Magufuli (CCM): 6,567
Lowassa (CHADEMA):2,839

Jimbo  la Mhambwe-Kigoma 

Magufuli (CCM): 37,746
Lowassa (CHADEMA): 22,804

=============================== 
Oktoba 26, 2015 - Saa 4 asubuhi:

Jimbo la Makunduchi:

Magufuli (CCM): 8,406
Lowassa (CHADEMA): 1,769

Jimbo la Paje:

Magufuli (CCM): 6,035
Lowassa (CHADEMA): 1,899

Jimbo la Lulindi:

Magufuli (CCM): 31,603
Lowassa (CHADEMA): 11,543

October 26, 2015 - Saa 11 Jioni
Jimbo la Mkoani:

Magufuli (CCM): 3341
Lowassa (CHADEMA): 7368

Jimbo la Ndanda:

Magufuli (CCM): 33699
Lowassa (CHADEMA): 19017

Jimbo la Kiwengwa:

Magufuli (CCM): 3317
Lowassa (CHADEMA): 1104

Jimbo la Nsimbo:

Magufuli (CCM): 31413
Lowassa (CHADEMA): 6042

Jimbo la Mtambile:

Magufuli (CCM): 902
Lowassa (CHADEMA): 5875

Jimbo la Donge:

Magufuli (CCM): 5592
Lowassa (CHADEMA): 1019

Jimbo la Kiwani:

Magufuli (CCM): 1661
Lowassa (CHADEMA): 4229

Jimbo la Chambani:

Magufuli (CCM): 818
Lowassa (CHADEMA): 5319

Jimbo la Kibaha Mjini:

Magufuli (CCM): 34604
Lowassa (CHADEMA): 25448

Jimbo la Bumbuli:
Magufuli (CCM): 35310
Lowassa (CHADEMA): 7928

October 26, 2015 - Saa 2 Usiku
Jimbo la Gando:

Magufuli (CCM): 881
Lowassa (CHADEMA): 5903

Jimbo la Kisarawe:

Magufuli (CCM): 24086
Lowassa (CHADEMA): 13093

Jimbo la Kojani:

Magufuli (CCM): 1561
Lowassa (CHADEMA): 9982

Jimbo la Mbinga Mjini:

Magufuli (CCM): 29295
Lowassa (CHADEMA): 11695

Jimbo la Mgogoni:

Magufuli (CCM): 710
Lowassa (CHADEMA): 6506

Jimbo la Mkinga:

Magufuli (CCM): 23798
Lowassa (CHADEMA): 15142

Jimbo la Moshi Mjini:

Magufuli (CCM): 28909
Lowassa (CHADEMA): 49379

Jimbo la Mtambwe:

Magufuli (CCM): 428
Lowassa (CHADEMA): 6937

Jimbo la Nanyamba:

Magufuli (CCM): 24904
Lowassa (CHADEMA): 16992

Jimbo la Peramiho:

Magufuli (CCM): 32505
Lowassa (CHADEMA): 11291

Jimbo la Wete:
Magufuli (CCM): 958
Lowassa (CHADEMA): 5119

Jimbo la Singida Mjini
 
Kura: 56,558 
 
Magufuli (CCM): 36,035 
 
Edward Lowassa (Chadema): 19,007

Jimbo la Lindi Mjini 
Kura: 38,992
Magufuli (CCM): 21,088
Edward Lowassa(Chadema): 17,607
 
Jimbo la Njombe Mjini 
Kura: 55,772
Magufuli (CCM): 33,626
Edward Lowassa(Chadema):20,368

 
Jaji Lubuva amesema kuwa matokeo ya majimbo mengine ambayo yatakuwa tayari yatatolewa leo  saa  mbili   usiku
=====================

Update...Haya Ndio Majimbo 76 Ambayo CCM imeshinda Kwa Kishindo

 
1. Chalinze- Ridhiwani J. Kikwete
2. Kibaha Mjini- Sylvester Francis Koka
3. Gairo-Ahmed Shabiby
4. Mvomero-Suleiman Ahmed Saddiq
5. Chemba- Juma Selemani Nkamia
6. Bahi-Omar Ahmed Badwel
7. Kibakwe-George Boniface Simbachawene
8. Mpwapwa-George Malima Lubeleje
9. Mtera- Livingstone Joseph Lusinde
10. Dodoma Mjini-Antony Peter Mavunde
11. Geita Mjini-Costantine John Kanyansu
12. Geita Vijijini- Joseph Lwinza Kasheku
13. Nzega Mjini- Husein Bashe
14. Nzega Vijijini- Dk Hamis Kigwangala
15. Iramba Mashari- Mwigulu Mchemba
16. Singida Kaskazini- Lazaro Nyalandu
17. Musoma Vijijini- Prof. Sospeter Muhongo
18. Musoma Mjini- Vedastus Mathayo
19. Kisarawe- Suleiman Jafo
20. Ilemela- Angelina Mabula
21. Kahama- Jumanne Kishimba
22. Nanyamba- Abdalah Chikota
23. Morogoro Mjini- Mohamed Abod

24. Tunduru Kusini- Eng. Ramo Makani
25. Bumbuli- January Makamba
26. Ilala- Musa Hasan Zungu
27. Nachingwea- Hasan Elias Masara
28. Nkasi Kaskazini- Ally Mohamed Kessy
29. Muleba Kaskazini-Charles John Mwijage
30. Mpanda Mjini-Sebastian Simon Kapufi
31. Mpanda Vijijini -Moshi Selemani Kakoso
32. Katavi -Issack Aloyce Kamwele
33. Nsimbo -Richard Philip Mbogo
34. Kavuu-Dkt. Pudenciana Wilfred Kikwembe
35. Songea Mjini-Leonidas Tutubert Gama
36. Nyasa-Eng. Stella Martin Manyanya
37. Tunduru Kaskazini-Ramo Matala Makani
38. Tunduru Kusini-Daimu Iddi Mpakate
39. Peramiho-Jenister Joakim Mhagama
40. Madaba- Joseph Kisito Mhagama
41. Mbinga Mjini- Sixtus Raphael Mapunda
42. Nkenge -Diodorus Buberwa Kamala
43. Kongwa - Job Y. Ndugai
44. Kondoa -Sanda Edwin
45. Kondoa Vijijini-Dkt. Ashatu Kijaji
46. Mlalo-Rashid Abdakkag Shangazi
47. Pangani -Jumaa Hamidu Aweso
48. Kilindi-Omari Mohamed Kigua
49. Mkinga-Danstan Luka Kit
50. Same Magharibi-Mathayo David
51.Mtama-Nape Nnauye
52.Lindi Mjini-Hassan Kaunje
53.Ileje-Janeth Mwambej
54.Bagamoyo-Shukuru Kawabwa
55.Singida Mjini.Kingu Imannuel

56.Handeni-Mboni Mohamed Mhita
57.Muhenza-Adadi Mohamed Rajabu
58.Korogwe Mjini-Mery Pius Chitanda

59.Korogwe Vijijini-Stephen Hillary Ngonyani
60.Ismani.William Lukuvi
61.Singida Mjini-Mussa Sina
62.Lupembe.Joram Hongoli
63.Sumbawanga Mjini-Aeshy Hilaly
64.Hanang-Mary Nagu
65.Kasulu Mjini-Daniel Senze
66.Chato-Kalemani Matogolo
67.Nyamagana-Stanlaus Mabula
68.Lindi Mjini-Seleman Kaunje
69.Mwanga-Jumanne Mwagembe
70.Mkinga-Dustan Kitandula
71.Geita Mjini-Kanyasu John
72.Kibaha Mjini-Slyvest Koka
73.Kahama Mjini-Jumanne Kishimba
74.Bukombe.Geto Buteko
75.Mbongwe-Augustino Masele
76.Busega- Raphael Chegeni

Silaha za Kijadi Zakamatwa Shinyanga..Inasemekana ziliandaliwa Kwa Ajili ya Kufanya Vurugu Wakati wa Uchaguzi



Vipande vya nondo na mapanga yanayodaiwa kuwa ni ya mgombea ubunge jimbo la Solwa mkoani Shinyanga Jeremia Mshandete wa Chadema, ni miongoni mwa silaha za jadi zilizokatwa ambazo zinadaiwa kuwa ziliandaliwa kwa ajili ya kufanya vurugu wakati na baada ya uchaguzi mkuu 2015.
Mawe, viroba na makombeo yaliyokamatwa na jeshi la polisi baada ya kukutwa ndani ya begi na vingine kwenye maboksi kwa ajili ya uharifu katika uchaguzi.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kamishina msaidizi Justus Kamugisha akionesha bendera ya CCM iliyochanwa mbele ya waandishi wa habari hawapo pichani.
Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga akionesha makombeo yanayoadaiwa kuwa yalilenga kutumika kufanyia vurugu kwenye jimbo la Solwa

HAYA HAPA MATOKEO YA UBUNGE JIMBO LA SOLWA SHINYANGA, CCM WAKOMBA KATA ZOTE 25

 

Mshindi wa ubunge jimbo la Solwa mkoani Shinyanga Ahmed Salum Ally akishangilia baada ya kutangazwa kuwa ni mshindi nafasi ya ubunge jimbo la Solwa mchana huu-


Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Shinyanga Kiomoni Kibamba akitangaza matokeo ya ubunge jimbo la Solwa ambapo aliyekuwa mgombea wa CCM Ahmed Salum amepata kura 57,962,Jeremia Mshandete (Chadema) kura 30,648, Mchungaji Budaga Joseph(ACT Wazalendo) kura 1226 na Kisenha(CUF kura 726-



Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Shinyanga Kiomoni Kibamba akitangaza matokeo ya ubunge jimbo la Solwa ambapo aliyekuwa mgombea wa CCM Ahmed Salum amepata kura 57,962,Jeremia Mshandete (Chadema) kura 30,648, Mchungaji Budaga Joseph(ACT Wazalendo) kura 1226 na Kisenha(CUF kura 726.-



Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Shinyanga Kiomoni Kibamba akitangaza matokeo ya ubunge jimbo la Solwa ambapo amesema wapiga kura waliojiandikisha katika jimbo hilo ni 151,871,waliopiga kura ni 94442,kura halali 90562,zilizokataliwa 3880-



Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Shinyanga Kiomoni Kibamba akimkabidhi cheti cha ushindi aliyekuwa mgombea wa CCM Ahmed Salum .


Jimbo la Solwa lina kata 26,uchaguzi umefanyika kwenye kata 25 na zote zimechukuliwa na CCM,Kata moja ya Bukene haijafanya uchaguzi kutokana na mgombea wa udiwani wa CCM David Ngitili kufariki dunia wakati wa kampeani-

Picha na Kadama Malunde-

SHINYANGA MJINI,UPINZANI WAPINGA,WANANCHI WAPIGWA MABOMU,YA RAIS MPAKA KESHO


Mheshimiwa Stephen Masele akiwashukuru wakazi wa Shinyanga kwa kumchagua kuwa mbunge katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25,2015-Picha na Kadama   




Uchaguzi mkuu katika jimbo la Shinyanga mjini umeingia dosari baada ya wagombea wa ubunge wa upinzani Chadema na APPT Maendeleo kutoka katika ukumbi wa kuhesabu kura na kutangazia matokeo kwa madai kuwa uchaguzi huo ulikuwa umegubikwa na rushwa,vitisho na udanganyifu wa hapa na pale hali ambayo wamesema kwa vyovyote vile matokeo haya wezi kuwa halali..na sasa kinachoendelea ni kwamba kura zinahesabiwa kwa vituo vyote 275…
Soma Habari kamili>>>HAPA

Mgombea ubunge wa Ukawa/Chadema Patrobas Katambi na wa APPT Maendeleo wameondoka eneo la kutangazia matokeo
Askari polisi wapo wa kutosha mtaani na eneo la tukio-Mwandishi mkuu wa Malunde1 blog,Kadama Malunde yupo eneo la tukio ametuletea picha zifuatazo….


Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Shinyanga mjini Lewis Kalinjuna akizungumza kabla ya kuwakaribisha wagombea kuzungumza kabla ya zoezi la kuhesabu kura halijaanza



Wagombea na wafuasi wa vyama wakiwa katika ukumbi wa kuhesabia kura muda huu



Katambi akizungumzia namna uchaguzi ulivyogubikwa na rushwa na udanganyifu ambapo mgombea CCM Stephen Masele amekuwa akicheza rafu mwanzo hadi mwisho wa uchaguzi


Wananchi wakifuatilia kinachoendelea



Mgombea ubunge wa APPT Maendeleo Emiliana Tambwe akisema uchaguzi ulikuwa siyo halali



Katambi akizungumza na waandishi wa habari



Katambi akiondoka ukumbini



Wafuasi wa chadema wakiwa na mgombea wao




Wanaondoka



Katambi na wafuasi wa Chadema wakiwa katika ofisi za chadema




Ulinzi mtaani



Ulinzi eneo la tukio



Gari la maji ya kuwasha


 



HABARI  KAMILI*********
Mgombea ubunge katika jimbo la Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Masele ametangazwa kuwa mshindi katika uchaguzi mkuu baada ya kupata kura 35,858 na kumshinda mpinzani wake wa karibu Patrobas Katambi wa CHADEMA aliyepata kura 31,027. 



Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa leo na msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la Shinyanga mjini, Lewis Kalinjuna mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha ACT – Wazalendo Nyangaki Shilungushela alipata kura 481 huku mgombea wa chama cha APPT Maendeleo, Elisiana Tambwe akiambulia kura 78 kati ya kura zote 67,444 zilizopigwa.



Hata hivyo wagombea wote kutoka vyama vya upinzani wamepinga matokeo hayo baada ya msimamizi wa uchaguzi kukataa kurejea kuhesabiwa upya kwa baadhi ya masanduku ya kura yaliyoonesha kuwa na utata ikiwemo ya kituo cha Town Shule ya msingi yaliyodaiwa kuwa na idadi kubwa ya kura zilizopigwa ikilinganishwa na idadi ya wapiga kura.



Kutokana na hali hiyo mgombea ubunge wa CHADEMA, Patrobas Katambi amekataa kuyatambua matokeo hayo na kuahidi kufungua kesi mahakamani ya kupinga uchaguzi huo aliodai ulitawaliwa na rushwa na nguvu kubwa ya jeshi la polisi ikidaiwa vitisho vyao vilikuwa na lengo la kuwasaidia wagombea wa CCM kushinda.



Katika hatua nyingine msimamizi wa uchaguzi amekataa kutangaza matokeo ya kura za urais ambapo alisema zoezi la kuhesabu kura za rais litafanyika kesho na matokeo yatatangazwa siku hiyo kwa kile alichodai inatokana na vurugu zilizotokea kabla na baada ya kutangazwa kwa matokeo ya ubunge.



Kabla ya kuanza kwa zoezi la kuhesabu kura msimamizi wa uchaguzi aliwakaribisha wagombea wa vyama vyote kuzungumzia kuhusu uchaguzi ambapo wagombea wa vyama vya upinzani wakiongozwa na Mgombea wa Chadema Patrobas Katambi na Elisiana Tambwe walieleza kutoridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi na kudai kuwa mgombea wa CCM amekuwa akitoa rushwa waziwazi bila kuchukuliwa hatua na vyombo vinavyohusika.



Kufuatia hali hiyo msimamizi wa uchaguzi alianza kusoma matokeo ya vituo vyote 275 vya uchaguzi,na wakati zoezi linaendelea wagombea wa upinzani walitoka nje ya chumba cha kuhesabia na kutangazia matokeo huku mgombea wa Chadema akisindikizwa na wafuasi wa chama chake kuelekea kwenye ofisi za chama hicho.



Hata hivyo jeshi la polisi halikuingilia kitendo hicho huku zoezi la kuhesabu kura kituo baada ya kituo na wakati zoezi hilo linaendelea wananchi walianza kurusha mawe kwenye chumba cha kuhesabia kura ndipo polisi wakaanza kufyatua mabomu ya machozi katika kukabiliana na vurugu za wafuasi wa CHADEMA waliokuwa wakipinga matokeo hayo hasa pale msimamizi alipogoma kurudia kuhesabu kura za vituo vilivyokuwa na mashaka hali iliyosababisha kufungwa kwa maduka yote ya biashara mjini humo.



Taarifa kutoka majimbo ya Kishapu (Suleiman Nchambi), Solwa (Ahmed Salum), Kahama (Jumanne Kishimba), Msalala (Ezekiel Maige) na Ushetu ( Elias Kwandikwa) zilidai wagombea ubunge wote wa CCM walikuwa wameshinda katika uchaguzi huo.

LIVE: Matokeo Rasmi ya Urais kwa Mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015


Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yanavyotangazwa.

Tembelea  ukurasa huu mara kwa mara  kwa updates zaidi

Jimbo  la  Fuoni-Mjini Magharibi

Magufuli (CCM): 956
Lowassa (CHADEMA):420

Jimbo  la  Kikwajuni-Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):6,317
Lowassa (CHADEMA): 3669

 Jimbo  la  Mpanda Vijijini-Katavi

Magufuli (CCM):37,321
Lowassa (CHADEMA): 12,791

Jimbo  la  Mchinga-Lindi

Magufuli (CCM):63,648
Lowassa (CHADEMA):12,636

Jimbo  la  Mwela-Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):6430
Lowassa (CHADEMA):5865


  ==================================
October 27, 2015 - Saa 3 Asubuhi

Jimbo  la  Chalinze

Magufuli (CCM):52,212
Lowassa (CHADEMA):21380

Jimbo  la  Chonga

Magufuli (CCM):1740
Lowassa (CHADEMA):3800
  
Jimbo  la  Chumbuni

Magufuli (CCM): 5096
Lowassa (CHADEMA): 4450

Jimbo  la Ileje

Magufuli (CCM):26,368
Lowassa (CHADEMA): 15,651

Jimbo  la Kijini

Magufuli (CCM): 2703
Lowassa (CHADEMA): 3351

Jimbo  la Kilindi-Tanga

Magufuli (CCM): 33,942
Lowassa (CHADEMA):12,123

Jimbo  la Korogwe Mjini-Tanga

Magufuli (CCM): 17,168
Lowassa (CHADEMA): 9034

Jimbo  la Kohani-Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):6,245
Lowassa (CHADEMA): 2689


Jimbo  la Lupembe-Njombe

Magufuli (CCM): 23,061
Lowassa (CHADEMA): 7,466

Jimbo  la Madaba-Ruvuma

Magufuli (CCM): 13,949
Lowassa (CHADEMA):4,735

Jimbo  la Masasi Mjini-Mtwara

Magufuli (CCM): 24,637
Lowassa (CHADEMA):16,778

Jimbo  la Mbeya Vijijini-Mbeya

Magufuli (CCM):62,662
Lowassa (CHADEMA):47,038

Jimbo  la Mkwajuni-Kaskazini Unguja

Magufuli (CCM): 4,686
Lowassa (CHADEMA): 3,314

Jimbo  la Momba- Mbeya

Magufuli (CCM): 28,978
Lowassa (CHADEMA):24,418

Jimbo  la Monduli-Arusha

Magufuli (CCM):11,355
Lowassa (CHADEMA): 49,675

Jimbo  la Mpendae- Mjini Magharibi

Magufuli (CCM):4,192
Lowassa (CHADEMA): 4,048

Jimbo  la Mwanga-Kilimanjaro

Magufuli (CCM): 25,738
Lowassa (CHADEMA):15,148

Jimbo  la Namtumbo-Ruvuma

Magufuli (CCM):44,061
Lowassa (CHADEMA): 23,039

Jimbo  la Newala Mjini-Mtwara

Magufuli (CCM): 21,269
Lowassa (CHADEMA):16,980

Jimbo  la Newala Vijijini-Mtwara

Magufuli (CCM): 29,799
Lowassa (CHADEMA): 13,958

Jimbo  la Siha-Kilimanjaro

Magufuli (CCM): 18,252
Lowassa (CHADEMA):22,572

Jimbo  la Solwa-Shinyanga

Magufuli (CCM): 66,096
Lowassa (CHADEMA): 23,510

Jimbo  la Tandahimba

Magufuli (CCM): 49,098
Lowassa (CHADEMA):46,288
  
Jimbo  la Tumbatu-Kaskazini Unguja

Magufuli (CCM): 5,720
Lowassa (CHADEMA):  3,967

Jimbo  la Igalula-Tabora

Magufuli (CCM): 28,747
Lowassa (CHADEMA): 8,393

Jimbo  la Ulanga-Morogoro

Magufuli (CCM):32,297
Lowassa (CHADEMA):20,489

Jimbo  la Wawi-Kusini Pemba

Magufuli (CCM): 1,748
Lowassa (CHADEMA): 5,216

Jimbo  la Ziwani-Kusini Pemba

Magufuli (CCM): 592
Lowassa (CHADEMA):6,067

Jimbo  la Ole-Kusini Pemba

Magufuli (CCM):681
Lowassa (CHADEMA):5,251

Jimbo  la .....-Kaskazini Unguja

Magufuli (CCM): 5,592
Lowassa (CHADEMA): 1,019

===============================
Oktoba 26, 2015 - Saa 4 asubuhi:

Jimbo la Makunduchi:

Magufuli (CCM): 8,406
Lowassa (CHADEMA): 1,769

Jimbo la Paje:

Magufuli (CCM): 6,035
Lowassa (CHADEMA): 1,899

Jimbo la Lulindi:

Magufuli (CCM): 31,603
Lowassa (CHADEMA): 11,543

October 26, 2015 - Saa 11 Jioni
Jimbo la Mkoani:

Magufuli (CCM): 3341
Lowassa (CHADEMA): 7368

Jimbo la Ndanda:

Magufuli (CCM): 33699
Lowassa (CHADEMA): 19017

Jimbo la Kiwengwa:

Magufuli (CCM): 3317
Lowassa (CHADEMA): 1104

Jimbo la Nsimbo:

Magufuli (CCM): 31413
Lowassa (CHADEMA): 6042

Jimbo la Mtambile:

Magufuli (CCM): 902
Lowassa (CHADEMA): 5875

Jimbo la Donge:

Magufuli (CCM): 5592
Lowassa (CHADEMA): 1019

Jimbo la Kiwani:

Magufuli (CCM): 1661
Lowassa (CHADEMA): 4229

Jimbo la Chambani:

Magufuli (CCM): 818
Lowassa (CHADEMA): 5319

Jimbo la Kibaha Mjini:

Magufuli (CCM): 34604
Lowassa (CHADEMA): 25448

Jimbo la Bumbuli:
Magufuli (CCM): 35310
Lowassa (CHADEMA): 7928

October 26, 2015 - Saa 2 Usiku
Jimbo la Gando:

Magufuli (CCM): 881
Lowassa (CHADEMA): 5903

Jimbo la Kisarawe:

Magufuli (CCM): 24086
Lowassa (CHADEMA): 13093

Jimbo la Kojani:

Magufuli (CCM): 1561
Lowassa (CHADEMA): 9982

Jimbo la Mbinga Mjini:

Magufuli (CCM): 29295
Lowassa (CHADEMA): 11695

Jimbo la Mgogoni:

Magufuli (CCM): 710
Lowassa (CHADEMA): 6506

Jimbo la Mkinga:

Magufuli (CCM): 23798
Lowassa (CHADEMA): 15142

Jimbo la Moshi Mjini:

Magufuli (CCM): 28909
Lowassa (CHADEMA): 49379

Jimbo la Mtambwe:

Magufuli (CCM): 428
Lowassa (CHADEMA): 6937

Jimbo la Nanyamba:

Magufuli (CCM): 24904
Lowassa (CHADEMA): 16992

Jimbo la Peramiho:

Magufuli (CCM): 32505
Lowassa (CHADEMA): 11291

Jimbo la Wete:
Magufuli (CCM): 958
Lowassa (CHADEMA): 5119

Jimbo la Singida Mjini

Kura: 56,558

Magufuli (CCM): 36,035

Edward Lowassa (Chadema): 19,007

Jimbo la Lindi Mjini
Kura: 38,992
Magufuli (CCM): 21,088
Edward Lowassa(Chadema): 17,607

Jimbo la Njombe Mjini
Kura: 55,772
Magufuli (CCM): 33,626
Edward Lowassa(Chadema):20,368


Jaji Lubuva amesema kuwa matokeo ya majimbo mengine ambayo yatakuwa tayari yatatolewa kesho  saa  tatu  asubuhi