Saturday 24 October 2015

MWANZA Hali Tete; Vijana Wa CCM Wang'oa Bendera za CHADEMA

Bendera Zilitundikwa Jana za Chadema Jiji La Mwanza Leo ASUBUHI Vijana Wa CCM wamezichomoa Zote Huku Askari Wa Usalama Barabarani Akiwepo Wanaangalia..

Fujo wakifanya CCM Ni Sawa Ila Zikifanywa Na CHADEMA NA UKAWA Zile Gari za Washa Washa Zinaletwa.

Source: JF

0 comments: