MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Tuesday 17 February 2015

ANGALIA SIMBA UKAWA WALIYOKAMATWA MATUNGULI MOROGORO


2 
KIKUNDI Maarufu cha wanachama walioasi wa klabu ya Simba, Simba Ukawa, jana kilikuja na matunguli katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro, Mnyama akishinda mabao 2-0 na hali hiyo ilisababisha Simba wenyewe kwa wenyewe wapigane wakipinga imani hizo za kishirikiana 
 
.Matunguli hayo yaliyokuwa yanatisha kuyatazama yalikamatwa kabla ya mechi na kuzua tafrani miongoni mwa wadau wa soka waliofurika uwanja wa Jamhuri. Huu ni muendelezo wa imani za kishirikina katika soka la Bongo.
 
Wadau wakiwa wameyakamata Matunguli

Kufunguliwa kwa nchini liberia wasogezwa mbele kuhofia ugonjwa wa Ebola kusambaa zaidi

Liberia Ebola West Africa











Waziri wa elimu Liberia, Etmonia Tarpeh ametangaza  kufunguliwa kwa Shule zilizokuwa zimefungwa kwa zaidi ya miezi sita nchini humo kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
Ufunguzi huo ulipangwa kufanyika February 2, lakini ulisogezwa mbele ili kupata nafasi ya kusambaza vifaa vya kutosha kwa ajili ya kufanyia usafi wa mazingira na vifaa vingine kwa shule za Serikali na binafsi.
150216-liberia-back-to-school-ebola-ef-1301_854b1393335af56521cde58485273c02 
Idadi ya wanafunzi walioripoti mashuleni siku ya jana February 16 imepungua, ili kuhakikisha usalama wa watoto hao michezo imepigwa marufuku ili kuepuka kugusana, pia vimechapishwa vipeperushi vya usalama vinavyowaonesha watoto hao jinsi ya kujilinda na maambukizi.
6124000-3x2-700x467
Shirika la Afya duniani (WHO) limesema idadi ya watu waliofariki kwa Ebola Liberia ni 3,800 tangu ulipotiwe kulipuka December 2013.

Wasichana wengi nchini Malawi wa olewa chini ya umri miaka 18

 


Malawi ni moja ya nchi ambazo zina tatizo kubwa la ishu ya ndoa za utotoni, tafiti zinaonyesha karibu nusu ya wasichana wa nchi hiyo wameolewa wakiwa hawajatimiza miaka 18.
Kutokana na kuendelea kwa tatizo hilo la ndoa za utotoni, Malawi wamepitisha sheria mpya kuanzia sasa umri sahihi wa mtoto wa kike kuolewa ni kuanzia miaka 18.
Sheria hii itasaidia kulinda haki za watoto wetu wa kike.. Hawatakiwi kuozwa wakiwa kwenye umri wa kuwa shule..“– alisema Jessie Kabwila ambaye ni msemaji wa Chama cha Upinzani  cha MCP.

Sunday 8 February 2015

Aathirika kwa kupenda sana kutumia Internet,

 

teenage_boy_cuts_his_own_hand_to_cure_internet_addiction263372633726337_LMatumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter, Instagram ni kitu ambacho kimeshika chati sana kwa sasa duniani, vijana wameonekana kuwa waathirika wakubwa wa matumizi ya mitandao hii.

MRISHO NGASSA AIPANDISHA YANGA KILELENI, ‘AIUA’ MTIBWA!!


 Mrisho Ngassa, Leo hii ndani ya Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam alifunga Bao 2 na kuipa ushindi Yanga wa Bao 2-0 walipoilaza Mtibwa Sugar kwenye Mec hi pekee ya Ligi Kuu Vodacom.

Saturday 7 February 2015

VPL: LEO SAREZA TAWALA MICHEZO 5 AZAM FC WARUDI KILELENI!!

VPL-TFF-KLABU-LOGO

Polisi Moro 2 Azam FC 2             
Coastal Union 0 Simba 0
Prisons 1 Ruvu Shootings 1                  
JKT Ruvu 1 Mbeya City 1  
Ndanda FC 1 Stand United 1         
Kagera Sugar 1 Mgambo JKT 0

Arsenal yafungwa na Tottenham kwenye EPL.Angalia matkeo ya mechi zingine hapa

256D4BC100000578-0-image-a-89_1423318735904

Tottenham Hotspurs wamefanikiwa kuwafunga Arsenal katika mchezo wa ligi kuu ya England uliopigwa hii leo (Jumamosi) kwenye uwanja wa White Hart Lane ukiwa mchezo wa kwanza wa ligi hiyo kwa ratiba ya jumamosi .

Real Madrid yanyeshewa mvua ya mabao ya kutoka kwa Atletico

  (null)

Baada ya kushindwa kupata ushindi katika mechi 5 mfululizo dhidi ya wapinzani wao wa jadi kabisa – Real Madrid leo walivuka kutoka upande mmoja wa mji wa Madrid na kwenda mpaka katika dimba la Vicente Carlderon pembezoni mwa jiji la Madrid kucheza dhidi ya Atletico Madrid.
Mchezo huo uliokuwa unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa timu zote mbili umemealizika kwa Madrid kupata kipigo kizito kabisa katika kipindi cha miezi 12 iliyopita – kwa kufungwa 4-0.
Magoli ya Atletico Madrid yalifungwa na Tiago, dakika ta 14, Ñíguez dakika ya 18, Griezmann akaongeza 67 kabla ya Mandzukic kuongeza dakika za mwisho za mchezo huo.
Hii ni mechi ya sita mfululizo Madrid wanashindwa kupata matokeo chanya dhidi ya wapinzani wao.