Sunday 2 June 2013

MBUNGE MSIGWA NA WENZAKE KUFIKISHWA TENA MAHAKAMANI KESHO



 Mbunge  Msigwa akishuka katika gari ya  polisi baada ya kufikishwa mahakamani siku alipofikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza
 Mbunge  Msigwa akishuka katika gari hilo la polisi tayari kwa kuelekea  chumba cha mahakama
 Mbunge Msigwa akiwa na gazeti mkononi baada ya  kufikishwa mahakamani kwa  mara ya kwanza
 Watuhumiwa  wengine wa vurugu  za machinga  na polisi  wakishuka katika karandinga la polisi
Mbunge  wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa na viongozi  wengine wa Chadema akiwemo katibu mwenezi wa Chadema na diwani wake pamoja na watuhumiwa wengine wa kesi ya vurugu za machinga na polisi kufikishwa mahakamani tena kesho jumatatu

0 comments: