Monday 24 June 2013

ALITAKA KUJIUWA MARA MBILI KWA HALI ALIYO NAYO YA MARADHI


 Picture


 Ama kwa hakika, wangenga walisema, “Hujafa Hujaumbik
 Sylvester Karanja aliezea masaibu yake ya jinsi alivyozaliwa katika hali ya kawaida kama binadamu wengine wasio na ulemavu wa aina yoyote ile, hadi alipopatwa na kipele katika ujana wake, kipele ambacho kilibadili muonekano wake na kumsababishia sononi ambayo ilimsukuma kutaka kuutoa uhai wake.

Alisimulia kuwa alijaribu mara mbili kufanya hivyo lakini kila mara alipojaribu, alikwama.

0 comments: