Friday 28 June 2013

LORI LA MAFUTA LA ANGUKA KIBAHA WATU NA MADUMU YAO MKONONI

Picture
Lori moja la kubebea bidhaa ya mafuta ya vyombo vya moto likiwa limeanguka eneo la Kongowe, Kibaha kama lilivyokutwa na mpiga picha jioni ya leo. Wananchi wanaonekana na vyombo vya kubebea, wamelizungukaa kana kwamba hawajali hatari inayoweza kutokea kama zilivyotokea nyingine siku zilizopita.

0 comments: