MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Friday, 31 January 2014

TBL YAPONGEZWA KWA KUJENGA MRADI WA MAJI KITUO CHA AFYA TUNDUMA.

 Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya TBL, Doris Malulu, wa pili toka mwisho wakati akikagua mradi wa uchimbaji wa Kisima cha Maji  uliofadhiliwa na Kampuni ya TBL  katika kituo cha Afya cha Tunduma kilichopo Wilayani Momba Mkoa wa Mbeya.  Afisa...

SAMATTA MCHEZAJI BORA WA MWAKA TP MAZEMBE

MBWANA Ally Samatta ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2013 wa klabu ya Tout Puissant Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).Mshambuliaji huyo wa Tanzania, maarufu kama Sama Goal amewashinda Solomon Asante na Robert...

DAKIKA ZA MWISHO ZA DIRISHA LA USAJILI: TETESI NA USAJILI ULIOKAMILIKA - NDIO HUU HAPA

Kim Kallstrom amekamilisha upimaji wa afya wa kujiunga na mkopo na Arsenal akitokea Spartak Moscow - wakati huo huo uhamisho wa mchezaji mkongwe wa kijerumani Miloslave Klose kuja Emirates...

VPL: KUENDELEA LEO SIMBA v JKT OLJORO, UWANJA WA TAIFA!

>>VIINGILIO: KUANZIA 5,000/= >>JUMAPILI: YANGA v MBEYA CITY, AZAM v KAGERA SUGAR! >> SERENGETI BOYS YAPANGIWA AFRIKA KUSINI, KOMBE LA AFRIKA! >> TFF MPYA YATIMIZA SIKU 100 >> BODI YA LIGI YAZIPIGA JEKI KLABU ZA FDL! SOMA ZAIDI: Release...

MAHAKAMA TANZANIA YAWAACHIA HURU WAANDISHI WA HABARI

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru Meneja Uendelezaji Biashara wa Mwananchi Communications (MCL), Theophil Makunga, aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na aliyekuwa Mwenyekiti...