Sunday, 2 March 2014

KAIMU KATIBU MTENDAJI WA BASATA AZINDUA CD YA WASANII KUHUSU KATIBA MPYA

 
001
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari pamoja na wasanii Februari 28,2014 katika ukumbi vijana kinondoni jijini Dar es Salaam., kuhusu viongozi mbalimbali wa Sanaa hapa nchini kwenda mkoani Dodoma Bungeni kupeleka ujumbe wa matakwa ya wasanii kuingizwa katiba Katiba mpya. Kutoka kulia ni Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili, Addo November, Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (Basata), Godfrey Mngereza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (Tamunet), John Kitime.
002
Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (Basata), Godfrey Mngereza akibonyeza kitufe kuzindua rasmi CD yenye wimbo wa kuhamasisha wabunge la katiba kuweka kipengele cha kulinda haki bunifu za wasanii nchini wimbo huo umetungwa na wasanii mbalimbali.uzinduzi huo lifanyika Februari 28,2014 katika ukumbi vijana kinondoni jijini Dar es Salaam.
003
Wasanii mbalimbali pamoja na waandishi wa habari wakishuudia uzinduzi huo.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

Related Posts:

0 comments: