Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Bora uliopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam jana Jumatatu.
Picha na Michael Matemanga.
Siku moja baada ya uongozi wa...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Wednesday, 31 July 2013
WALIONACHO WANASAMEHEWA KODI,WASIONACHO WANAKAMULIWA......'''''''''''''
Wiki iliyopita katika safu hii nilijadili suala la kuanzishwa kwa kodi za simu katika utekelezaji wa bajeti ya mwaka huu.
Ni jambo linaloonekana kuichanganya...
MTANZANIA ATIMULIWA KWA AIBU BIG BROTHER AFRIKA
Nando.
MSHIRIKI machachari katika mashindano ya Big
Brother The Chase, Amil Khan maarufu kama Nando, juzi Jumapili usiku
alitimuliwa kwenye jumba hilo baada ya kuingia na mkasi chumbani
alipogombana na Elikem wa Ghana hali iliyowafanya...
MENGI YAIBUKA MTOTO ALIYETUPWA ENEO LA NDIUKA ''A'' MKOANI IRNGA
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Ndiuka A Siwema Ally akisoma barua aliyoandikiwa mwanamke huyo na polisi Makambako
SIKU moja baada ya mwanamke aliyetambuliwa kwa jina la Stella...
CHADEMA YAVUNA WANACHAMA 300 TANGA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Tanga kimepata wanachama wapya zaidi ya 300.
Wanachama hao wamepatikana katika
mikutano ya hadhara iliyofanyika katika wilaya za Handeni, Muheza na
Korogwe uliohutubiwa na Katibu wa chama hicho Mkoa wa Tanga, Jonathan
Bahweje.
Wanachama 220 wamejiunga na chama hicho
katika...
HATIMA YA KESI YA MAKADA WA CHADEMA AUGOST 5

Uamuzi dhidi
ya kesi inayowakabili wanachama watano wa Chadema yaliyokuwa yatolewe
jana sasa yatatolewa Agosti 5. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya
Tabora, Simon Lukelelwa alitoa uamuzi huo kufuatia kuchelewa kufika kwa
washtakiwa wa kesi hiyo waliohifadhiwa...
Tuesday, 30 July 2013
TUTAMSHITAKI WAZIRI MKUU MAHAKAMANI LHRC
LHRC: Tutamshtaki Waziri Mkuu mahakamani
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda
kubainisha na kuchukua hatua stahiki, badala ya
kusakama makundi fulani, tujue chanzo halisi cha vurugu hizi na matatizo
haya...
MIAKA 30 JELA KWA KUMBAKA NA KUMPA MIMBA MTOTO WAKE
Mkazi
mmoja wa Isanga, Mbeya amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kosa la
kumbaka na kumpa mimba binti yake wa kumzaa wa umri wa miaka 15.
MAHAKAMA ya wilaya ya Mbeya imemhukumu
kwenda jela miaka 30 mkazi wa Isanga Mkoani hapa baada ya kumtia hatiani...
Monday, 29 July 2013
MFANYAKAZI WA MWANANCHI COMMONICATION LIMITED APIGWA RISASI
. Picha na Venance Nestory
Na Daria Erasto, Mwananchi
Posted
Jumatatu,Julai29
2013
Dar es Salaam. Watu ambao
wanasadikiwa kuwa ni majambazi wamemjeruhi kwa risasi mfanyakazi...
DK SLAA AMWEKA KITIMOTO DK NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akichangia hoja kwenye
Kongamano la Kujadili Amani nchini kwa miaka 50 ijayo lililofanyika Chuo
Kikuu cha Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix
Na Raymond...
WALIOGOMA KURUDIA KDATO CHA 2 KUKIONA
SERIKALI imewataka wazazi kuhakikisha wanafunzi wote 36,000
waliofeli kidato cha pili mwaka jana na kutakiwa kurudia darasa hilo
wanafanya hivyo vinginevyo hawataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato...
IDD AZAN AZUNGUMZIA TUHUMA ZA KUFANYA BIASHARA ZA MADAWA YA KULEVYA
IDD AZAN
Siku
chache baada ya jina lake kutajwa kwenye waraka unaodaiwa kuwa barua
kutoka kwa mmoja wa Watanzania waliofungwa katika jela huko Hong Kong,
Mbunge wa Kinondoni (CCM), Idd Azzan amezungumza na kusema kuwa yupo
tayari kujiuzulu ubunge ikiwa itabainika...
Saturday, 27 July 2013
JAPHET KASEBA AIANGUKIA SERIKALI
BONDIA wa ngumi za mateke ‘Kick boxing’, Japhet Kaseba, ameisihi
serikali kuwekeza kwenye mchezo huo na sekta hiyo kwa ujumla ili iweze
kutoa ajira kwa vijana wenye vipaji mbalimbali.
Kaseba anayeing’arisha Tanzania katika ndondi aina ya Kick Boxing,
alisema juzi kuwa kama serikali kupitia...
AFISA FEKI WA NIDA AKAMATWA NA POLISI
JESHI la Polisi mkoani Dodoma, linamshikilia mwanamke mmoja kwa
tuhuma za utapeli kwa kuwadanganya wanafunzi wa vyuo vikuu, kuwa
atawapatia kazi Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, David Misime, alisema alipokuwa
akizungumza...
ANGALIA ORODHA YA MISHAHARA MIPYA YA WATUMISHI WA UMMA 2013
TGHS I (Sh 2,800,000).TGHS JTGHS J (Sh 2,900,000)TGHS KTGHS K (Sh 3,100,000)TGHS LTGHS L (Sh 3,400,000)Watumishi wa MahakamaTJS 1TJS
1.1. (Sh 510,000), TJS 1.2. (Sh 535,000), TJS 1.3. (Sh 560,000), TJS
1.4. (Sh 585,000), TJS 1.5. (Sh 610,000), na TJS 1.6. (Sh 635,000) na...
NGUZO ZINAZO OZA AU KUANGUKA NI HATARI KWA WANANCHI (ANGALIA HII NGUZO)
Hii nguzo iliyooza inamsubiri muda ufike ifunge barabara au imwangukie mtu imuue.Hii
nguzo ilianguka usiku wa manane na hadi saa 3 asubuhi ya leo Jumamosi
tarehe 27/07/2013 hakuna mtu yeyote wa TANESCO aliyefika kufanya
chochote. Nguzo hii iko barabara ya kutokea mzunguko...
STARS KUPAMBANA NA UGANDA THE CRANES LEO ( ANGARIA MANDARI YA STARS)

STARS WAKIWA MAZOEZI KUPAMBANA NA CRANE LEO
Wachezaji
mbalimbali wa Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Satrs' ambao wanasakata
kabumbu ndani ya nchi wakijifua katika Uwanja wa Taifa wa Mandela uliopo
Nambole nchini Uganda. Stars ipo...
Friday, 26 July 2013
ATUHUMIWA KWA SHITAKA LA KUMUA MUMEWE ILI ARIDHI MALI
Janeth
Jackson (32), mke wa mfanyabashara maarufu wa madini mkoani Arusha
anadaiwa kupanga njama za kumuua mumewe wa ndoa na mtoto wa mume huyo.Kamanda
wa jeshi la polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas, amesema mwanamke
huyo aliwaagiza watu wawili kumsaidia kutekeleza...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAUAJI YA MFANYAKAZI WA MGODI WA TANZANIE, KITALU C, MIRERANI WILAYANI SIMANJIRO
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAUAJI YA MFANYAKAZI WA MGODI WA TANZANIE, KITALU C, MIRERANI WILAYANI SIMANJIRO
Tarehe 20 Julai, 2013 kulitokea mauaji ya mfanyakazi wa mgodiwa Tanzanite ulioko kitalu C, Mirerani wilayani Simanjiro kwakupigwa
risasi na mchimbaji kutoka...
Wednesday, 24 July 2013
MFUASI WA MUNGUGI AJITIA KITANZI KITANZI AKIHOFIA KUKAMATWA NA POLISI
Aliyekuwa kiongozi wa Mungiki Maina Njenga kwenye picha ya awali. Picha/MAKTABA
MFUASI sugu wa kundi haramu la Mungiki
alijiua kwa kujitia kitanzi usiku wa kuamkia Jumatano Katika Kaunti ya
Murang’a baada ya kupata habari kuwa polisi walikuwa wakimwandama.
...