Sunday 29 June 2014

ANGALIA MAMBO YANAVYOENDELEA UCHAGUZI SIMBA SC SASA HIVI

Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage (katikati) akiongoza Mkutano Mkuu wa Uchagzi wa Simba SC mchana huu katika ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam. Kushoto ni Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan 'Zungu'
Wanachama

Wanachama

Mgombea Urais, Evans Aveva na nyuma yake mgombea Umakamu, Jamhuri Kihwelo 'Julio'

Wanachama

Mgombea Umakamu, Geoffrey Nyange 'Kaburu' kulia akiwa na Mzee Joseph Itang'are 'Kinesi' kushoto

Wagombea wa nafasi za Ujumbe 

Wanachama

Ukumbi kwa nje

Wanachama wa wakijiandikisha PICHA NA BINZUBERY BLOG       

0 comments: