

Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi.
Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari hii!!!


Kwa maana nyingine gari ikitumbukia hapa, mpaka ije ijikite chini itakuwa imepiga samasoti za kutosha!us
0 comments:
Post a Comment