


Timu hiyo ambayo ipo katika ligi ndogo imesema kuwa rais huyo atakuwa akicheza kwa dakika 20 katika kila mchuano watakaokuwa wanacheza,hasa ikizingatiwa kuwa ni mtu mwenye shughuli nyingi.
Rais Morales amewahi kucheza katika mechi nyingi iliyotambulika pamoja na wanahabari, viongozi wa umoja na marais wengine.
Kumbukumbu inaonyesha mwaka wa 2007 rais huyo alishiriki katika mechi iliyokusudiwa kupinga kikwazo kilichokuwa kimewekewa Bolivia cha kutoshiriki katika mechi za kimataifa katika sehemu zenye urefu.
Ingawa Mwaka wa 2006 alipata matatizo uwanjani kwa kuvunjika mguu wakati alipogongana na kipa.
0 comments:
Post a Comment