Saturday 17 May 2014

MESSI AWA MCHEZAJI ANAELIPWA MKWANJA MREFU DUNIA SASA AMZIDI C. RONALDO

LIONEL Messi amekubali kusaini mkataba mpya katika klabu yake ya Barcelona na kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani ambapo atakuwa anavuta mkwanja wa paundi milioni 16.3 kwa mwaka.

Baba yake, Jorge, amekutana na maofisa wa klabu Javier Faus na Antoni Rossich wiki iliyopita na kusaini mkataba wake wa 7 ndani ya klabu ya Barcelona.
Messi ambaye mwezi juni atafikisha miaka 27 baada ya kuongeza mkataba huo,  sasa atakaa Barcelona mpaka mwaka 2018.
He's staying: Lionel Messi has agreed to sign a new deal keeping him at Barcelona
 Ataendelea kuwepo: Lionel Messi amekubali kusaini mkataba mpya katika klabu ya Barcelona
Boost: Messi agreeing a new deal is the news the Barcelona fans had been waiting for

0 comments: