Saturday 17 May 2014

ANGALIA ARSENAL JANA,WALIVYO BEBA UBINGWA WA F A CUP


Miaka tisa, Kombe moja: Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger alilazimika kubadilisha shati lake baada ya alilokuwa amevaa kuloana bia alizomwagiwa na wachezaji wake wakati wa kushangilia ushindi wa 3-2 uliowapa Kombe la FA jana Uwanja wa Wembley, taji la kwanza kwa klabu hiyo na mocha huyo kwa ujumla baada ya miaka tisa.
Raising spirits: Wenger is thrown into the air by the Arsenal side after the FA Cup win
Juu juu: Wenger akiwa amebebwa juu juu na wachezaji wake jana
Soaking: Wenger was soaked by his Arsenal players after their FA Cup win over Hull
Anaogeshwa mbege: Wenger akimwagiwa bia na wachezaji wake
Shower time: Wenger, visibly soaked, celebrates victory with his players
Aogeshwe huyoo: Wenger akiwa amebebwa na kumwagiwa bia na wachezaji wake.
Happy pair: Serge Gnabry and Alex Oxlade-Chamberlain enjoy winning the FA Cup
Spanish duo: Cazorla and Nacho Monreal pose with the FA Cup
Serge Gnabry na Alex Oxlade-Chamberlain, kushoto na Santi Cazorla na Nacho Monreal wakiwa wamepozi na Kombe la FA chumba cha kubadilishia nguo Uwanja wa Wembley jana
We've done it: left to right, Santi Carzorla, Mesut Ozil, Per Mertesacker, Serge Gnabry, Lukas Podolski and Aaron Ramsey with the FA Cup in the dressing room at Wembley
Kutoka kushoto ni Santi Carzorla, Mesut Ozil, Per Mertesacker, Serge Gnabry, Lukas Podolski na Aaron Ramsey
Leading the celebration: Podolski celebrates with the Arsenal fans after the FA Cup final win
Podolski akishangilia mbele ya mashabiki
Hopeful: One Arsenal fan, sporting some interesting body art, looks on during the FA Cup final
Mmoja wa mashabiki wa Arsenal akiwa kifua wazi kushangilia ubingwa

0 comments: