Saturday 17 May 2014

SHEREHE ZA UBINGWA ATLETICO MADRID JANA...ILIKUWA HATARI TUPUUU


Mchora mipango: Kocha Diego Simeone akiwa ameinuliwa juu na wachezaji wake kushangilia ubingwa wa Ligi Kuu ya Hispania, La Liga ambao ni wa kwanza kwao baada ya miaka 18, kufuatia safe ya 1-1 na Barcelona jana Uwanja wa Camp Nou
Spraying: Players celebrate with the traditional spraying of champagne
Wachezaji wakishangilia kwa kucheza, kuimba, kuruka na kumwagiana shampeni
No trophy: The players were not able to celebrate with the La Liga trophy because Spanish FA president Javier Tebas could not make it to the game
Pati bila Kombe: Wachezaji wakishangilia bila Kombe kwa sababu Rais wa FA ya Hispania, Javier Tebas hakutokea kwenye mchezo huo
Filling the streets: Atletico Madrid fans hit the Neptuno fountain to celebrate after their club won the La Liga title by drawing 1-1 with Barcelona in the Nou Camp
Mashabiki wa Atletico Madrid walifika eneo la Neptuno kushangilia ubingwa wao
Singing and dancing: Supporters celebrate their first title in 18 years
Kuimba na kucheza: Mashabiki wakishangilia taji la kwanza la La Liga baada ya miaka 18

0 comments: