Sunday, 2 March 2014

VPL:ANGALIA RATIBA, MATOKEO NA MSIMAMO WA VPL BAADA YA SIMBA YAICHAPA RUVU SHOOTING!!


VPL_2013-2014-FPBao mbili za Amisi Tambwe na moja la Haruna Chanongo zimewapa Simba ushindi wa Bao 3-2 dhidi ya Ruvu Shooting kwenye Mechi ya VPL, Ligi Kuu Vodacom iliyochezwa Leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Simba walitangulia kufunga Bao 2 kupitia Tambwe na Said Dilunga wa Ruvu Shooting kuipa Timu yake Bao la kwanza
Haruna Chanongo aliifungia Simba Bao la 3 na kisha Ruvu Shooting kufunga Bao la Pili kwa Penati iliyopigwa na Jerome Lambele.
Penati hiyo ilitolewa baada ya Singano kuunawa Mpira.
Matokeo haya yameibakiza Simba Nafasi ya 4 wakiwa Pointi 1 nyuma ya Mbeya City na pia Ruvu Shootinga kubaki Nafasi ya 8.
VIKOSI:
SIMBA: Yaw Berko, Haruna Shamte, Issa Rashid, Joseph Owino, Donald Mosoti, Jonas Mkude, Haruna Chanongo, Said Ndemla, Amisi Tambwe, Amri Kiemba, Ramadhani Singano
RUVU SHOOTING: Abdallah Rashid, Michael Pius, Mao Bofu, Baraka Jafari, Gedion Sepo, Ali Khan, Hamisi Kisuke, Juma Nade, Elias Maguri, Said Dilunga, Raphael Kyala

MSIMAMO:
NA
TIMU
P
W
D
L
GD
PTS
1
Azam FC
18
11
7
0
23
40
2
Yanga SC
17
11
5
1
29
38
3
Mbeya City
20
9
9
2
8
36
4
Simba SC
20
9
8
3
17
35
5
Kagera Sugar
19
6
8
5
1
26
6
Coastal Union
19
5
10
4
5
25
7
Mtibwa Sugar
19
6
7
6
0
25
8
Ruvu Shooting
19
6
7
6
-5
25
9
JKT Ruvu
19
7
1
11
-13
22
10
Prisons FC
17
3
8
6
-3
17
11
Mgambo JKT
19
4
5
10
-17
17
12
JKT Oljoro
20
2
9
9
-15
15
13
Ashanti United
19
3
5
11
-19
14
14
Rhino Rangers
19
2
7
10
-11
13
RATIBA/MATOKEO:
Jumapili Machi 2
Simba 3 Ruvu Shooting 2
Kagera Sugar v JKT Ruvu
Ashanti United v Rhino Rangers
Tanzania Prisons v Mgambo JKT

Related Posts:

0 comments: