Mwakilishi wa Tanzana katika mkutano
huo Ndg. Phares Magesa ambaye ni Mkurugenzi wa ICT- TPA akiwa mkutanoni
katika ukumbi wa Umoja wa Ulaya, Brussels.
Tanzania yashiriki mkutano wa 3 wa
kamati ya kusimamia mradi wa kupashana habari ili kupambana na uhalifu
baharini, 3rd Maritime Security & Safety Information Sharing for
Capacity building (MARSIC ) unaofanyika kwa kuratibiwa na Umoja wa Ulaya
, Brussels, Ubelgji 3-4 Machi, 2014.
Tanzania ni moja ya nchi zenye vituo
hivyo vya kupashana habari (Informations Sharing Centres) kilichopo
katika Mnara wa kupngoza Meli cha Feri (Control Tower) kinaendeshwa na
TPA kwa kushirikiana na Sumatra na idara nyingine za ulinzi na Usalama
za Serikali kiutekelezaji.
baadhi ya wajumbe kutoka nchi mbali mbali wakiwa mkutanoni.
Vituo vingine vya mradi huo viko Djibouti, Mombasa - Kenya na Sanaa -Yemen katika ukanda wa bahari ya Hindi.
Picha, maelezo na Phares Magesa
0 comments:
Post a Comment