Friday, 7 March 2014

JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MKOANI MWANZA ANGALIA HAPA

 
DSC057661Huu ni moto ambao umetokea asubuhi ya March 06 2014 saa 5 mtaa wa Majengo wilayani Misungwi mkoani Mwanza ambapo nyumba iliteketea na furniture zake.
Jeshi la Polisi lilifika kwenye eneo la tukio na kutoa onyo kwa Wananchi waliojikusanya kwenye eneo la tukio ambao walikua hawajui athari za moto wa gesi.
DSC057521 
Watu hao hawakutii amri hiyo zaidi ya kusogelea eneo la tukio ambapo saa moja baadaye gari la zimamoto lilifika likiwa limechelewa manake tayari nyumba ilikwisha ungua.
Sababu kubwa ya kuchelewa kwa gari ni umbali toka Halmashauri ya jiji la Mwanza ambao unasemekana ni umbali wa dakika 45.
DSC057601
DSC057701
DSC057641
DSC057491
DSC057461 
Source:matukiodaima.com

Related Posts:

0 comments: