Wanafunzi
wa Shule ya Msingi Igula iliyopo kata ya Kihologota tarafa ya Isimani
Mkoani Iringa wakiwa mapumziko ya mafupi baada ya vipindi vichache vya
asubuhi hii huku kubadilishana mawazo wao kwa wao. Walikuwa wakisubiri
muda wa kupata uji shuleni hapo.
Wednesday, 5 March 2014
HOME »
» HAWA NDIYO TAIFA LA LEO, WANAOKAZANA KUTOKOMEZA UMASIKINI
0 comments:
Post a Comment