MATOKEO:
Jumamosi Machi 1
Everton 1 West Ham 0
Fulham 1 Chelsea 3
Hull 1 Newcastle 4
Stoke 1 Arsenal 0
Southampton 0 Liverpool 3
Wakicheza Uwanja wa Saint Mary,
Liverpool wameichapa Southampton Bao 3-0 na kukwea hadi Nafasi ya Pili
kutoka Nafasi ya 4 kwenye Ligi Kuu England.
Bao za Liverpool zilifungwa na Luis
Suarez, Dakika ya 16, Raheem Sterling Dakika ya 58 na Penati ya Dakika
za Majeruhi ya Steven Gerrard baada ya Suarez kuangushwa na Jose Fonte.
RATIBA:
[Saa za Bongo]
Jumapili Machi 2
1930 Aston Villa v Norwich
1930 Swansea v Crystal Palace
1930 Tottenham v Cardiff
MSIMAMO:
RATIBA MECHI ZIJAZO:
[Saa za Bongo]
Jumamosi Machi 8
1545 West Brom v Man United
1800 Cardiff v Fulham
1800 Crystal Palace v Southampton
1800 Norwich v Stoke
1800 West Ham v Hull
2030 Chelsea v Tottenham
| |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Sunday, 2 March 2014
HOME »
» ANGALIA MATOKEO.RATIBA NA MSMAMO WA LIGI KUU YA ENGLAND BPL BAADA YALIVERPOOL YAKWEA NAFASI YA PILI!
0 comments:
Post a Comment