| 
MATOKEO: 
Jumamosi Machi 1 
Everton 1 West Ham 0 
Fulham 1 Chelsea 3 
Hull 1 Newcastle 4 
Stoke 1 Arsenal 0 
Southampton 0 Liverpool 3 
Wakicheza Uwanja wa Saint Mary, 
Liverpool wameichapa Southampton Bao 3-0 na kukwea hadi Nafasi ya Pili 
kutoka Nafasi ya 4 kwenye Ligi Kuu England. 
Bao za Liverpool zilifungwa na Luis 
Suarez, Dakika ya 16, Raheem Sterling Dakika ya 58 na Penati ya Dakika 
za Majeruhi ya Steven Gerrard baada ya Suarez kuangushwa na Jose Fonte. 
RATIBA: 
[Saa za Bongo] 
Jumapili Machi 2 
1930 Aston Villa v Norwich 
1930 Swansea v Crystal Palace 
1930 Tottenham v Cardiff 
MSIMAMO: 
 
RATIBA MECHI ZIJAZO: 
[Saa za Bongo] 
Jumamosi Machi 8 
1545 West Brom v Man United 
1800 Cardiff v Fulham 
1800 Crystal Palace v Southampton 
1800 Norwich v Stoke 
1800 West Ham v Hull 
2030 Chelsea v Tottenham | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Sunday, 2 March 2014
HOME »
 »  ANGALIA MATOKEO.RATIBA NA MSMAMO WA LIGI KUU YA ENGLAND BPL BAADA YALIVERPOOL YAKWEA NAFASI YA PILI! 
 






 
 
 
 






0 comments:
Post a Comment