Sunday, 2 March 2014

ANGALIA MATOKEO.RATIBA NA MSMAMO WA LIGI KUU YA ENGLAND BPL BAADA YALIVERPOOL YAKWEA NAFASI YA PILI!


MATOKEO:BPL2013LOGO
Jumamosi Machi 1
Everton 1 West Ham 0
Fulham 1 Chelsea 3
Hull 1 Newcastle 4
Stoke 1 Arsenal 0
Southampton 0 Liverpool 3

Wakicheza Uwanja wa Saint Mary, Liverpool wameichapa Southampton Bao 3-0 na kukwea hadi Nafasi ya Pili kutoka Nafasi ya 4 kwenye Ligi Kuu England.
Bao za Liverpool zilifungwa na Luis Suarez, Dakika ya 16, Raheem Sterling Dakika ya 58 na Penati ya Dakika za Majeruhi ya Steven Gerrard baada ya Suarez kuangushwa na Jose Fonte.
RATIBA:
[Saa za Bongo]
Jumapili Machi 2
1930 Aston Villa v Norwich
1930 Swansea v Crystal Palace
1930 Tottenham v Cardiff

MSIMAMO:
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Chelsea
28
30
63
2
Liverpool
28
38
59
3
Arsenal
28
24
59
4
Man City
26
42
57
5
Tottenham
27
3
50
6
Everton
27
11
48
7
Man Utd
27
12
45
8
Newcastle
28
-2
43
9
Southampton
29
1
39
10
West Ham
28
-4
31
11
Hull
28
-5
30
12
Stoke
28
-14
30
13
Swansea
27
-4
28
14
Aston Villa
27
-10
28
15
Norwich
27
-19
28
16
Crystal Palace
26
-18
26
17
West Brom
27
-8
25
18
Sunderland
26
-16
24
19
Cardiff
27
-29
22
20
Fulham
28
-34
21
RATIBA MECHI ZIJAZO:
[Saa za Bongo]
Jumamosi Machi 8
1545 West Brom v Man United
1800 Cardiff v Fulham
1800 Crystal Palace v Southampton
1800 Norwich v Stoke
1800 West Ham v Hull
2030 Chelsea v Tottenham

Related Posts:

0 comments: