Tuesday 20 May 2014

WAJASIRIAMALI WALEMAVU WAFUNGA BARABARA DAR


KUNDI la walemavu, wajasiriamali na  wafanyabiashara ndogo ndongo, leo May 20, 2014 wamefunga makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru (Karume) kwa muda wa saa tatu wakishinikiza Serikali iwapatie maeneo ya kufanyia biashara baada ya kuwaondoa katika eneo la Mtaa wa Kongo Kariakoo jijini Dar es Salaam.
CHINI FUATILIA PICHA ZA TUKIO HILO. 
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA
2 (17) 3 (10) 6 (4) 9 (1) 10 (2) 1 (17)

0 comments: