HOME »
» MAN U KUMSAJILI ANGEL DI MARIA KWA PAUNI MILION 56
Sky Sports wanaripoti kuwa Manchester United wanakaribia kumsajili Angel
Di Maria kwa kati ya pauni milioni 48- 56 kutoka Real Madrid. Mchezaji
huyo kutoka Argentina anatarajiwa kukamilisha usajili wake kwenda Old
Trafford wiki ijayo na anatarajiwa kuvaa jezi maarufu namba 7 - kwa
mujibu wa Sky Sports
0 comments:
Post a Comment