Wednesday 29 May 2013

WATANZANI MAJONZI KWENYE BONGO FLEVA M TO THE P" NAYE AAGA DUNIA, BAADA YA NGWAIR

TANZANIA BONGO "M TO THE P" NAYE AAGA DUNIA, BAADA YA NGWAIR

BAADA YA MANGWEA SASA NI “M to the P”
Duru za Habari kutoka nchini Afrika Kusini, Baada ya kifo cha Msanii wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva na Hip Hop) Albert Mwangwea a.k.a kijana wa Jakaya, “M to the P” naye afariki dunia nchini humo.
Mangwea amefariki jana Jumanne wa kile kinachodaiwa ni matumizi ya dawa za kulevya kufuatia kuwa na matumizi nayo kwa muda mrefu.
“M to the P” msanii mwingine wa karibu na marehemu ambaye alikutwa amezirai baada ya naye kutumia dawa za kulevya zilizozidi kiasi naye afariki dunia  katika Hospitali ya St. Hellen ya mjini Johannesburg.
Duru nyingine za Habari zinasema huenda wote wawili walikula chakula chenye sumu.  ENDELEA KUFUATILIA MTANDAO  HUU

0 comments: