Sunday 26 May 2013

AKAMATWA NA NYARA ZA SELIKALI KOBE 70 MKOANI DODOMA

 
Picture
Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime akiwaonyesha waandishi wa habari nyara za Serikali, kobe zaidi ya 70 waliokuwa wamefungwa kwenye mifuko na mtuhumiwa Moses Nyawaje (42), akiwa anawasafirisha kinyume cha sheria. (Picha: John Banda, Dodoma)

0 comments: