The Orange ilipata ushindi mnono
dhidi ya wenyeji na shukurani kwa mabao ya Robin Van Persie, Daley Blind
na Georginio Wijnaldum, ambapo ilikuwa mechi ya mwisho kwa Van Gaal
kuiongozo Uholanzi kabla ya kuanza kazi mpya katika klabu ya Manchester
United.
Kocha huyo alisema alikuwa na
furaha kuona wachezaji wake wameimarika vizuri kufuatia kufungwa na
Argentina katika mchezo wa nusu fainali.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blospot.com
0 comments:
Post a Comment