Sunday, 13 July 2014

LUIZ FELIPE SCOLARI , HII NDIO KAULI YAKE BAADA YA KUCHAPWA 3-0 NA UHOLANZI!!


434667_heroa 
LUIZ Felipe Scolari amesema hatajiuzulu katika nafasi yake ya ukocha wa timu ya taifa ya Brazil, licha ya timu yake kufungwa mara ya pili mfululizo ndani ya siku tano.
Brazil walifungwa mabao 7-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa Belo Horizonte siku ya jumanne ya wiki hii na usiku wa jana walifungwa mabao 3-0 na Uholanzi na kumaliza katika nafasi ya nne ya fainali za 2014 za kombe la dunia kwenye ardhi yake.
Kabla ya mashindano haya, Brazil  ilikuwa haijapoteza mechi nyingi za nyumbanii tangu mwaka 2002 na walikuwa hawajawahi kufungwa nyumbani katika mashindo ya mpira wa miguu tangu mwaka 1975, lakini kufungwa mara mbili mfululizo ndani ya siku tano kumewachangaya mashabiki  na waandishi wa habari wan chi hiyo.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.bloggspot.com

Related Posts:

0 comments: