Sunday, 13 July 2014

KUFUNGWA KWA ARGENTINA NI PIGO KWA FAMILIA YA DEVIDE BECKHAM PIA

 
KIPIGO cha 1-0 cha Argentina kutoka kwa Ujerumani ni pigo kwa mwansoka wa zamani wa kimataifa wa England, David Beckham na familia yake pia, kwani kiungo huyo wa zamani wa Manchester United alitinga wanawawe Uwanja wa Maracana wakiwa wamevaa jezi za Argentina.
Brooklyn, Romeo and Cruz wote walikuwa wamevaa jezi za Argentina, bao la Mario Gotze likiipa Ujerumani Kombe la tano la Dunia nchini Brazil usiku huu.
Magwiji wa Brazili, Pele na Kaka wote walikutana na Beckham na familia yake na wakapozi kupoiga picha kabla ya mechi. 
Pigo la familia: David Beckham na watoto wake wa kiume, Brooklyn (kushoto), Cruz (wa pili kulia) na Romeo (kulia) Uwanja wa Maracana Stadium wakati wa fainali ya Kombe la Dunia baina ya Argentina na Ujerumani
Legends: Beckham shares a joke with Brazilian great Pele as they wait for kick-off at the Maracana
Magwiji: Beckham akitaniana na gwiji wa Brazil, Pele Uwanja wa Maracana kabla ya mechi

Related Posts:

0 comments: