Tuesday, 15 July 2014

RAIS DR.SHEIN AFUTARISHA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

IMG_6549
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuika na waislamu na Viongozi katika swala ya Magharibi katika viwanja vya Ikulu ndogo ya Mkokotoni kabla ya  futari aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja jana.
IMG_6553
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuika na Viongozi  katika futari aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja jana katika viwanja vya Ikulu ndogo ya Mkokotoni .
IMG_6559
Waziri wa Uwezeshaji,Ustawi wa Jamii,Vijana Wanawake na Watoto Zainab Omar Mohamed, (wa pili kulia) akijumuika na Viongozi wengine katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein kwa wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja,katika viwanja vya Ikulu ya Mkokotoni jana.
IMG_6564
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja   pamoja na  Viongozi mbali  mbali wakijumuika katika fuitari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja,
IMG_6576
Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini B Unguja akitoa shukurani kwa niaba ya Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja,
IMG_6614
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja jana baada ya futari iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja,
  [PICHA ZOTE NA RAMADHAN OTHMAN<IKULU]

Related Posts:

0 comments: