Monday, 7 July 2014

WAFANYABIASHARA WASOKO LA SOWETO MBEYA WAMKANA MZABUNI WA KUSAFISHA VYOO VYA SOKO






Wafanyabishara wa soko la Soweto  mkoani mbeya wamkana mzabuni aliyechukua tenda ya kusafisha vyoo vya soko hilo ,hayo amesemwa na baadhi ya wafanya biashara wa soko hilo   walipo kuwa wanizumza na mtandao huu wa mbeya greenews wamesema mzabuni huyo hakidhi vigezo kwa kuwa  usafi wa mzingira ya vyoo haviridhishi hali ambayo hupelekea kuguwa kwa magonjwa ya milipuko,
 Pamoja nahayo mzabini anatoza gharama kubwa tafauti na bei ya awali  ambapo mara   ilikuwa  tsh 5o  na yeye anachaji 200 kwa kila anaekwenda kutuimia vyoo hivyoo ,hivyo wafanyabiashara wameiomba halimashauri  ya jiji la mbeya wanata ka huduma ya vyoo urudishwa kwa wafanya biashara wenyewe iliwaweze kuindesha  na kufanya usafi unaoeleweka
Akidhipitisha malalamiko hayo ya wafanyabiashara hao mwenyekiti wa soko hilo  ANOLA MBOGELA amesma kuwa  mzabuni huyo aliwekwa na halimashauri ya jiji la mbeya kwa kuwa  yaeye ndie alipata tenda hiyo ya kufanya usafi wa vyoo vya soko lakini hali ya usafi nimbaya na hairidhishi kwa wafanyabiasha wa soko hilo,bila yakutaja jina la mzabuni huyo mwkt ameongeza kuwa mzabuni amegeuza  huduma ya vyoo kuwa ni biashara  hali mabyo hupekea wafanyabiashara wa soko hilo kutomuhitaji kwa kuwa na tozo kubwa  ya tsh 200 kwa kila naetumia vyoo hivyoo
Pia ameomba ha halimashauri  ya jiji la mbeya wanataka huduma ya vyoo urudishwa kwa wafanya biashara wenyewe iliwaweze kuindesha  na kufanya usafi unaoeleweka       
 habari na
                                 Abdul m.Abdallah mbeya

Related Posts:

0 comments: