Thursday, 10 July 2014

UWT MKOA WA MBEYA WAKEMEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA UNAONDELEA NCHINI



Baadhi ya wanachama wa umoja wanawake mkoa wa mbeya picha na makitaba
Umoja wa wanawake tanzanzia wilaya ya mbeya wakemea unyasasaji wa kijinsia unaondelea nchini  hii emekuja baada ya kukithili kwa videndo vya unyanyasaji wa wanawake  kwa  waume zao
 Akizumza na na mbeyahighland fm radio  katibu wa uwt wilaya ya mbeya Bi, SAFI HAMIDU ALMAS   amesma kuwa meamuakukemea na kutoa msaada kwa wanawake wanao kumbwa na vitendo hivyo  kwa kushilikiana  natasisi mbalilmbali ikiwemo dawati la jinsia na watoto la jeshi la polisi pamoja na  haki za binadamu ilikuhakiksha mwanamke anakombolewa katika hali hii
Pamoja nahoya BI, SAFI ALMAS   ametaja msaada uwt   kwa mwanamke ni kumuelimsha kuhusu hakiyake, kumpa muongozo  wa kushulikia madai yake au kumuunganisha na vyombo husika ambavyo vinaweza kumsaidia mwanamke kupata haki yake
Katibu huyo ameongeza kuwa melengo makubwa  ya uwt nikulinda, kutetea haki na masilahi ya mwanake pamoja na kumkomboa,mwanamke  kiuchumi,kielimu na kijamii kwa kutafuta fursa za kazi na kuanzisha miradi mbalilmbali pia uwt imejipanga kumuondoa mwanamke katika mfumo dume
Hivyo amewaomba wanawake kujiunga na umoja huo ili waweze kupata fursa mbalimbali wanazo zipata wanake wangine mbali na kupata fursa hizo  wanaweza kujiendeleza kiuchumi,kielimu na kijamii

Related Posts:

0 comments: