HOME »
 » Rais Kagame azungumzia uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania ATOA YAKE YAMOYONI SOMA HAPA
 
Kagame: Tanzania ni ndugu zetu na hakuna wa kuwatenga ndugu hawa!
  
  
    
     
     
    
    
  
     Akiongea na waandishi habari leo amesema Tanzania ni ndugu wala haitaji kufanya ziara Tanzania kubembeleza udungu. 
Amesema matatizo ya wanyarwanda  yanafanana sana na ya wantazania hivyo 
haoni haja ya kuhasimiana ndugu wanaofanana na wenye matatizo 
yanayofanana. Hata hivyo ameonya kwamba Rwanda itapambana na yoyote 
anayeshirikiana na FDRL. 
Amesema dunia hii ni ya ajabu maana inawasikiliza na kuwatunza wauaji 
alafu inalazimisha maridhiano. "Inawezekana tuna sauti ndogo, hatusikiki
 lakini nawaakikishia hatutaridhiana na wauaji zaidi ya kupambana nao na
 marafiki zao" alisema.

Rais Kagame azungumzia uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania
Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema kwamba Rwanda na Tanzania ni mataifa 
ndugu na yataendelea kuwa ndugu kwa sababu yanachangia udugu huo.
 
 
 
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda
Rais Paul Kagame ameyasema hayo mjini Kigali kwenye kikao na waandishi 
wa habari.Nchi za Rwanda na Tanzania zilikabiliwa na wakati mgumu 
kuanzia mwaka jana kutokana na kutofautiana kuhusu kundi la waasi wa 
kihutu la FDLR linaloendesha mambo yake mashariki mwa Jamhuri ya 
Kidemokrasia ya Kongo dhidi ya utawala mjini Kigali.
Mwandishi wetu Sylivanus Kalemera kutoka Kigali ana ripoti
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment