Friday, 4 July 2014

OFISI YA BUNGE YAANDAA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI KWA MAMENEJA WA HOTELI ZA KITALII

YAKIWA NI MAANDALIZI YA MKUTANO WA 45 WA CPA

A 
Katibu wa Bunge,Dk Thomas Kashililah(kushoto)akisalimiana na Meneja wa Fedha wa Hoteli ya Ngurdoto Mountain Lodge katika chakula cha jioni kilichoandaliwa na Ofisi ya Bunge kwa  Mameneja wa Hoteli za kitalii ikiwa maandalizi ya mkutano mkubwa wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola(CPA)utakaofanyika jijini Arusha mwezi huu. BMkuu wa Wilaya ya Arusha,John Mongela(kulia)akimsikiliza Mkuu wa Idara ya Mawasiliano,Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa wa Bunge,Jossey Makasyuka wakati wa hafla hiyo. CMwenyekiti wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola(CPA)tawi la Tanzania,Mussa Zungu akizungumza katika hafla ya chakula jioni,wengine kutoka kushoto ni Wabunge wa Vita Maalumu,Mhonga Ruhwanya,Lucy Owenya,Meneja Uhusiano wa Tanapa,Pascal Shelutete na Mbunge wa Kilindi,Beatrice Shelukindo. DWakifuaatilia kwa makini hafla hiyo,kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Kituo cha Mikutano cha AICC,Paul Ndosa,Wabunge  wa Viti Maalum,Mhonga Ruhwanya na Lucy Owenya. E 
Mameneja mbalimbali wakifuatilia kwa makini tukio hilo ambalo litawawezesha kupokea wageni  wengi kwenye hoteli zao.

Related Posts:

0 comments: